Mkuu hao autocom wana office zao hapa Tanzania au u a deal nao vip kuamini wanakuleta ndinga nq si janja janja.Unapata mkuu ukiwa fresh wacheki jamaa wa Autocom Japan wanabei nzuri. Mfano Mitsubishi Outlander ya 2010 ukiikuta Befoward bei inakuwa tofauti na Autocom kwa tofauti ya $ hata 800 au 1000 ni vile maraia wamekariri Befoward na kwingine
Zitasikikaje kama hata kuonekana kwa picha tu hazionekaniGari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.
Gari hizi zinavitu vingi sana ambapo gari nyingine kama Toyota huwezi pata hasa ukilinganisha bei yake.
Mitsubishi outlander 2006 - 2015
1. Ni gari inakuja na charging system ya laptop, yaani unaweza kuchomeka switch sockate na ukaweka charger yako vizuri... Kwa kifupi gari hili linabadili umeme wa dc kwenda ac.
Kwa watu wanaopenda kutumia laptop wakiwa safari hii gari unaweza kutumia laptop toka Dar mpaka Mwanza, bila kuizima unafanya kazi tu au unaangalia series.
2. Gari hii inakuja na kifridge kidogo kuweka vivywaji uwapo safarini.
3. Gari hii ina option ya 4WD
4. Gari hii inakuambia muda wa kupumzika ukichoka safarini.
5. Gari hii inakuja na mziki mziti yaani subwoofer isiyojaza buti.
6. Gari inakuja na seat 7.
7. Gari hii ina option ya manual na automatic.
8. GARI hii ina gear 6, inaifanya itumie mafuta kidogo.
Hii gari bei yake ipo chini ya kina harrier, kulger na Vanguard. Kitu ambacho hivi vitu vyote vingekuwa kwenye hizo gari bei zake zisinge shikika.
Wanayo ofisi kabisaMkuu hao autocom wana office zao hapa tz au u a deal nao vip kuamini wanakuleta ndinga nq si janja janja.
Good tena ingia kwenye web yao chagua ndinga unayoitaka, kwa kawaida ukishajiunga kwenye web yao ukawa member hapo hapo unapigiwa simu na sales manager aliyeko online mtazungumza kama ni mambo ya discount, rangi ya gari, unataka gari liweje nk.Shukrani mkuu
Tawacheki mwishoni mwa Nov waniletee hiyo chuma
Hakuna janja janja jamaa wako smart hakuna longolongo, nishaagiza gari kwao zaidi ya mara mbili. Mimi huwa naingia kwenye website yao sijawahi kutumia ofisi zao za Dar. Isitoshe nna account kwenye website yaoMkuu hao autocom wana office zao hapa tz au u a deal nao vip kuamini wanakuleta ndinga nq si janja janja.
Wadau wa wapi mzee? Na hawaikubali kwa sababu zipi.Hii gari wadau hawaikubali kabisa, kuna mwamba haikubali kabisa hii ndinga
Hii gari naifahamu sana hasa ya Diesel.Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.
Gari hizi zina vitu vingi sana ambapo gari nyingine kama Toyota huwezi pata hasa ukilinganisha bei yake.
Mitsubishi outlander 2006 - 2015
1. Ni gari inakuja na charging system ya laptop, yaani unaweza kuchomeka switch socket na ukaweka charger yako vizuri... Kwa kifupi gari hili linabadili umeme wa dc kwenda ac.
Kwa watu wanaopenda kutumia laptop wakiwa safari hii gari unaweza kutumia laptop toka Dar mpaka Mwanza, bila kuizima unafanya kazi tu au unaangalia series.
2. Gari hii inakuja na kifridge kidogo kuweka vivywaji uwapo safarini.
3. Gari hii ina option ya 4WD
4. Gari hii inakuambia muda wa kupumzika ukichoka safarini.
5. Gari hii inakuja na mziki mzito yaani subwoofer isiyojaza buti.
6. Gari inakuja na seat 7.
7. Gari hii ina option ya manual na automatic.
8. GARI hii ina gear 6, inaifanya itumie mafuta kidogo.
Hii gari bei yake ipo chini ya kina harrier, kulger na Vanguard. Kitu ambacho hivi vitu vyote vingekuwa kwenye hizo gari bei zake zisingeshikika.
Tatizo letu Watanzania tunajifanya tunajua kila kitu, hakuna gari iko comfortable kama hiyo! Achana na toyota zinazovibrate dashboard! Unaweza kuta mtu hapa anachangia kwamba sio gari nzuri wakati hakuwahi kumiliki hata boxer pikipiki!!Mkuu acha zako niko na Mitsubishi Outlander ni gari imara na ngumu tena sio ngumu tu ngumu kwelikweli!! Acheni maneno ya vijiweni [emoji1787][emoji1787]
Hakuna janja janja jamaa wako smart hakuna longolongo, nishaagiza gari kwao zaidi ya mara mbili. Mimi huwa naingia kwenye website yao sijawahi kutumia ofisi zao za Dar. Isitoshe nna account kwenye website yao
Hakuna ubabaishaji ni hayo tu.
Wamezoea Toyota, wadau = wauzaji wa magariWadau wa wapi mzee? Na hawaikubali kwa sababu zipi.
Hii gari naifahamu sana hasa ya Diesel.
Tatizo letu Watanzania tunajifanya tunajua kila kitu, hakuna gari iko comfortable kama hiyo! Achana na toyota zinazovibrate dashboard! Unaweza kuta mtu hapa anachangia kwamba sio gari nzuri wakati hakuwahi kumiliki hata boxer pikipiki!!
Mkuu acha zako niko na Mitsubishi Outlander ni gari imara na ngumu tena sio ngumu tu ngumu kwelikweli!! Acheni maneno ya vijiweni [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 "Mtu anachangia kwamba sio gari nzuri wakati hakuwahi kumiliki hata boxer pikipiki" mwisho wa kunukuu!Tatizo letu Watanzania tunajifanya tunajua kila kitu, hakuna gari iko comfortable kama hiyo! Achana na toyota zinazovibrate dashboard! Unaweza kuta mtu hapa anachangia kwamba sio gari nzuri wakati hakuwahi kumiliki hata boxer pikipiki!!
Hahhaa. Hii ni gari wazee. Mie ninawatu zaidi ya ishirini wanayo ni gari. Achana na watu wanaoibuka na sentesi moja ya kukatisha watu tamaa. This is one of the best car ever.Outlander hapa ili buniwa vilivyo,imekaa kibabe zaidiView attachment 2376510
Halafu Kuna wachawi Wachache
Wanaponda kutokea kusikojilikana
View attachment 2376509
Kati ya diesel na ya petrol, ipi unarecommend zaidi? Kwa kuzingatia fuel consumption na magonjwa ya mara kwa mara (reliability).
-Kaveli-
Kwa reliability ni Petrol