Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mistubish pajero ni gari nzuri hapa Tanzania kweli?
Nzuri sana ukiipatia maana iko tofauti na Toyota zisizojali shidaHivi mistubish pajero ni gari nzuri hapa Tanzania kweli?
Wabongo kwenye kukatishana tamaa ni namba moja sometimes kama hujui kitu unaweza kupita Tu na njiaKaa nalo mbali, hilo ni shipa kiongozi
Poa poaTafuta za miaka ya nyuma zenye engine 4m40 turbo diesel intercooler, zipo Poa sana
Damn!! Sikutegemea hili toka kwako chief, uchoko wa Mitsubishi uko wapi? Nna Mitsubishi Outlander na haijawahi nisumbua. Sasa wote tukiwa na Toyo, brand nyingine nani atamiliki? Au unamaanisha Mitsubishi pajero as per thread?Mitsubishi gari ya kichoko sana, kama huamini nunua tu. Wengi vipato vyetu kawaida ila hio gari itakutoa jasho la ugoko sio kama Toyota zilivyo.
Mwanetu utafutiwe ubalozi wa Toyota tu hakuna namna maana si kwa kuwapigia chapuo hadi team Zingine kama BMW, VW, Nissan tunaona gere. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitsubishi gari ya kichoko sana, kama huamini nunua tu. Wengi vipato vyetu kawaida ila hio gari itakutoa jasho la ugoko sio kama Toyota zilivyo.
Sana tu, ila za kisasa zina umeme mwingi na usipokuwa makini mafundi watakupa ugonjwa wa moyo.
Engine 2 ambazo zimekuwa successful sana kwa Mitsubishi suv ni 4D56 na 4M40, these are the best.
Shogun ni Gari yenye body nzuri sana na Inakuja na engine ya diesel au petrol yenye cc zaidi ya 3000....
Hii ni Gari nzuri, ila bwana hata ikioshwa bila umakini maji yakagusa control unaweza ua gearbox.
Hii shogun ikipata 4m40 ya cc 2800 yenye intercooler na engine ya manual is one of the best car you can have.
Usiwatishe mkuu.Mitsubishi gari ya kichoko sana, kama huamini nunua tu. Wengi vipato vyetu kawaida ila hio gari itakutoa jasho la ugoko sio kama Toyota zilivyo.
Umepiga kwa mushono muzee babaTafuta za miaka ya nyuma zenye engine 4m40 turbo diesel intercooler, zipo Poa sana
4m40 niweka injini ya 5L aaah acha kabisa.
Heri nyie msioamini sasa....maana si maana kwenuHongera kwa kutujulisha unamiliki mitsubishi suv, tunaomba basi hata kapicha mkuu
Spea mzozoHivi Mitsubishi pajero ni gari nzuri hapa Tanzania kweli?
Kwani spare unanunua kila siku?Spea mzozo