Miujiza ni nini?

Miujiza ni nini?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Eti wakuu sana. Miujiza ni kitu gani? Ni mambo yanayotokea yakipingana na sheria za asili au ni mambo yanayopata na sheria za asili lakini hatuwezi kuyaelewa sababu ya uwezo wetu mdogo?

Mambo yanaweza fanyika kinyume na sheria za asili? Inasemwa Mungu hutenda miujiza. Je hubadilisha sheria za asili? Au ni vile tu hatuelewi anavyofanya kama ambavyo wazee wetu hawakuelewa bunduki inatoaje risasi?
 
Eti wakuu sana. Miujiza ni kitu gani? Ni mambo yanayotokea yakipingana na sheria za asili au ni mambo yanayopata na sheria za asili lakini hatuwezi kuyaelewa sababu ya uwezo wetu mdogo?

Mambo yanaweza fanyika kinyume na sheria za asili? Inasemwa Mungu hutenda miujiza. Je hubadilisha sheria za asili? Au ni vile tu hatuelewi anavyofanya kama ambavyo wazee wetu hawakuelewa bunduki inatoaje risasi?
Miujiza ni imagination just an illusion.
 
Back
Top Bottom