Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Sasa ndg kama wamekata saa9 uck inakuwaje?Miundombinu mnaiharibu wenyewe halafu mnakuja kuilaumu serikali?
Hivi huu ujinga sisi waafrica utatuisha lini? Pesa iliyotumika kujenga barabara ni kodi zenu, barabara inaharibiwa mpo mnaangalia tu, na wanaoharibu ni nyinyi wenyewe, halafu mnakuja kuilaumu serikali!
Waliokata si nyie hao hao wa songea na msamala? Kwani kuna mtu katoka singida kuja kukata?Sasa ndg kama wamekata saa9 uck inakuwaje?
serekali ingeweka walinzi hapo?Sasa ndg kama wamekata saa9 uck inakuwaje?
ni muhimu kila mwanainchi kuwajibika kikamilifu katika kutunza na kulinda miundombinu hii, yenye umuhimu wa kipeekee sana kwetu sote, inayojengwa kwa gharama kubwa sana za wavuja jasho wa Tanzania kupitia kodi.....Hili daraja linapatikana mkoa wa Ruvuma Manispaa ya Songea linatenganisha kata yaView attachment 2999031 msamala na mshangano.Bampa za pembeni zimekatwa kila uapande mita kama 15 Tazama picha.Pia hapa daraja hili jembamba sehemu ya wapita njia hakuna lingepanuliwa kuepusha ajali mana magari mengi sana yanapota hapa.
Nadhani wewe kama ni mtanzania pia utakuwa mpumbavu kuja kulaumu watu wanaosikitishwa na hali hii.Miundombinu mnaiharibu wenyewe halafu mnakuja kuilaumu serikali?
Hivi huu ujinga sisi waafrica utatuisha lini? Pesa iliyotumika kujenga barabara ni kodi zenu, barabara inaharibiwa mpo mnaangalia tu, na wanaoharibu ni nyinyi wenyewe, halafu mnakuja kuilaumu serikali!
Ok.uharibifu huu inaonesha ilifanyika usiku wa manane.ni muhimu kila mwanainchi kuwajibika kikamilifu katika kutunza na kulinda miundombinu hii, yenye umuhimu wa kipeekee sana kwetu sote, inayojengwa kwa gharama kubwa sana za wavuja jasho wa Tanzania kupitia kodi.....
lakini pia, ikibainika kuna hujuma ya miundimbinu mahala fulani, bas, ni vizuri tena bila lawama ila uzalendo kutoa taarifa kwa mamalaka husika kuanzia ngazi ya vijiji au mitaa na kuendelea.....
hata hivyo, asant sana kwa taarifa,
Sasa unadhani mharibifu huyu anaharibu mchana?tunaonaga gari za patroo kids ya saa24 je huwa wanalala ifikapo sa8-9 usiku?Waliokata si nyie hao hao wa songea na msamala? Kwani kuna mtu katoka singida kuja kukata?
Kwa hiyo unataka serikali iweke walinzi kwenye kila daraja?
sureOk.uharibifu huu inaonesha ilifanyika usiku wa manane.
Kwa hiyo serikali iweke walinzi kwenye kila daraja nchi nzima?S
Sasa unadhani mharibifu huyu anaharibu mchana?tunaonaga gari za patroo kids ya saa24 je huwa wanalala ifikapo sa8-9 usiku?
Kama mimi mpumbavu basi wewe msen&e kabisa kwa ulichoandika hapo 🖕Nadhani wewe kama ni mtanzania pia utakuwa mpumbavu kuja kulaumu watu wanaosikitishwa na hali hii.
Kwa akili zako unadhani mleta mada alimwona mtu au watu wanaoharibu ndio akaja kuandika hapa?
Kila mtu ana wajibu wa kulinda miundombinu ya Nchi...Apo mkiingia humo darajan mkavunja viuno wala serikali haitakuwepoView attachment 2999031
Hili daraja linapatikana mkoa wa Ruvuma Manispaa ya Songea linatenganisha kata ya msamala na mshangano.Bampa za pembeni zimekatwa kila uapande mita kama 15 Tazama picha.Pia hapa daraja hili jembamba sehemu ya wapita njia hakuna lingepanuliwa kuepusha ajali mana magari mengi sana yanapota hapa.
Hahaaa kwa uimara wake kuimarisha chasesi ya gari.usikute bosi alitowa mpunga wa kuagiza vyuma mijaa imejiongeza.Halafu hicho kipande cha chuma utakuta kimeenda kutengeneza jiko la mkaa...
Wanakula sana,kuleni kidogoo.S
Sasa unadhani mharibifu huyu anaharibu mchana?tunaonaga gari za patroo kids ya saa24 je huwa wanalala ifikapo sa8-9 usiku?