KERO Miundombinu ya vyoo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) hasa upande wa Hostel za Social umekuwa kikwazo kwa wanafunzi. Tunaomba mamlaka ishughulikie

KERO Miundombinu ya vyoo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) hasa upande wa Hostel za Social umekuwa kikwazo kwa wanafunzi. Tunaomba mamlaka ishughulikie

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Miundombinu ya vyoo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) haswa upande wa Hostel za Social umekuwa kikwazo kwa wanafunzi wanaotumia hivyo tunaomba mamlaka ishughulikie hili suala kwa afya bora za Wanafunzi.

Pia soma > KERO - Ubovu wa miundombinu ya vyoo Chuo Kikuu cha Dodoma Ndaki ya Sayansi ya Kompyuta na Elimu Angavu

IMG_20241123_133404.jpg
IMG_20241123_133357.jpg
IMG_20241123_133351.jpg
IMG_20241123_133345.jpg


UFAFANUZI WA UDOM
JamiiForums.com
ilipowasiliana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa wa UDOM, Rose Mdami kuhusu hoja hiyo ya Mdau amesema:

Tumelazimika kuzunguka kwenye hosteli zote kufanya ukaguzi hatujabaini changamoto yoyote ya aina hiyo, kuna sehemu moja ambayo ilikuwa na changamoto ya mfumo wa Bomba la maji taka lakini sio kama ilivyoripotiwa.

Sehemu nyingine zenye changamoto ndogondogo zimeshafanyiwa kazi, lakini pamoja na hayo tunashukuru kwa taarifa kama hizi kwa kuwa zinapokuja zinafanyiwa kazi na Uongozi wa Chuo.
 
Miundombinu ya vyoo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) haswa upande wa Hostel za Social umekuwa kikwazo kwa wanafunzi wanaotumia hivyo tunaomba mamlaka ishughulikie hili suala kwa afya bora za Wanafunzi.

Pia soma > KERO - Ubovu wa miundombinu ya vyoo Chuo Kikuu cha Dodoma Ndaki ya Sayansi ya Kompyuta na Elimu Angavu



UFAFANUZI WA UDOM
JamiiForums.com
ilipowasiliana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa wa UDOM, Rose Mdami kuhusu hoja hiyo ya Mdau amesema:

Tumelazimika kuzunguka kwenye hosteli zote kufanya ukaguzi hatujabaini changamoto yoyote ya aina hiyo, kuna sehemu moja ambayo ilikuwa na changamoto ya mfumo wa Bomba la maji taka lakini sio kama ilivyoripotiwa.

Sehemu nyingine zenye changamoto ndogondogo zimeshafanyiwa kazi, lakini pamoja na hayo tunashukuru kwa taarifa kama hizi kwa kuwa zinapokuja zinafanyiwa kazi na Uongozi wa Chuo.
Duuh.. Hiki ni chuo kweli??!!.. Chuo kiifanyie kazi hii mara moja. Tunalipa hela nyingi na wengine hawana mkopo.
 
Huyo rose awezi kukiri anaogopa kuhatarisha kibarua chake ukweli kwamba vyoo vya udom yote ni vibovu vimeziba ukitaka jisaidia kwa amani kimbilia vyoo vya cafeteria
 
Back
Top Bottom