Miwani gani sahihi yakutumia wakati wa matumizi ya simu, computer na vifaa vingine?

Miwani gani sahihi yakutumia wakati wa matumizi ya simu, computer na vifaa vingine?

Andazi

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
1,113
Reaction score
2,234
Wakuu natumai huku kunamadokta naumwa na kichwa pembeni kwenye misuli ya macho hasa ninapotumia computer, simu na n.k

Yani kichwa kinauma sana ila kuona naona fresh tu niliwahi pima nikaonekana nipo poa kwenye kuona ila mwanga unaniumiza sana

Sina miwani na kazi zangu siwezi kwepa computer kila siku ya Mungu na ninaitumia more than 12hours as programmer

Kesho ninaenda kununua miwani ya macho ye itaathiri kuona kwangu?

Njoo unishauri
 
wahi hospitali au clinic ya macho karibu na wewe

usijepofuka
 
Punguza mwanga wa vitendea kazi vyako, usipende kukaribisha ulemavu
 
Back
Top Bottom