Miwani kwa bima ya NHIF

wayfarer

Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
10
Reaction score
2
Habari za usiku waungwana,
Nauliza ni hospital ipi nzuri au duka la miwani ambalo wanapima macho na kutoa miwani hapa DSM?
Natanguliza shukrani za dhati
 
Habari za usiku waungwana,
Nauliza ni hospital ipi nzuri au duka la miwani ambalo wanapima macho na kutoa miwani hapa DSM?
Natanguliza shukrani za dhati
Kwa kutumia bima ya NHIF
 
Shukrani. Wanatibu kwa kutumia bima ya NHIF. Maana kuna baadhi nilienda wakasema hawahudumii kwa bima ya NHIF
Ccbrt uhakika. Dingi yangu alifanya operations zake pale kwa bima ya NHIF
 
Nilienda Aga Khan wakaniambia Bima wanachangia elfu 20 tu, gharama zinazozidi unatoa mfukoni.
 
Wa
Shukrani. Wanatibu kwa kutumia bima ya NHIF. Maana kuna baadhi nilienda wakasema hawahudumii kwa bima ya NHIF
Ndio mkuu,na gharama zao nafuu sana pia,na ukienda uwahi sana maana panajaa sana ukiwahi utapata huduma mapema,ukichelewa utakaa sana kwa foleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…