Miwani yangu ya macho na tabu zake

Miwani yangu ya macho na tabu zake

Ambokile Amanzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2018
Posts
965
Reaction score
1,333
Wajuzi wa mawani za macho mnisaidie nisije kupofuka.

Kipindi cha nyuma nilikuwa nina UONI hafifu sana. Nilikuwa siwezi kuona mbali.

Baada ya muda nikapima nikapatiwa miwani yenye 1.5 lens capacity.

Nimetumia lenzi husika kwa miezi saba nikawa naona lenzi inakosa nguvu kabisa, nikaenda hospital wakanibadilishia wakaniwekea lenzi imara kidogo ya 2.5.

Lenzi hii ya 2.5 ni nzuri sana kiasi kwamba NAONA vitu vyote kwa usahihi mpaka najisikia raha natamani niwe natizama tu. MAANA NAHISI macho yameponywa.

Lakini nikivua tu miwani NAHISI NAKUWA KIPOFU COMPLETELY. Hata ule uoni hafifu wa mwanzo umezidi kuwa hafifu MARA MIA ZAIDI. Kwahiyo kimsingi MAWANI hayabanduki usoni kutwa kuchwa nimebeba maglasi usoni.

Hivyo basi kuvaa mawani ndio kunaharibu kabisa UONI halisi?? na nitatakiwa kuvaa haya mawani muda wote wa maisha yangu? ama baada ya muda nitapona ili niyatue haya maglass???

Wajuvi............


AMBOKILE AMANZI.
 
Yaani umeandika unadhani ni sifa na ufahari sana kuvaa muwani eehhhh....[emoji45] [emoji45]
Anyway, Mungu akusaidie sana hakika maana ungejua wengine sie tunavyo pata shida kwa hili janga....[emoji25] [emoji29]
Ok.
 
Jamani umemuonea bwana ye mwenyewe anaonekana hapendezwi ndio maana ameuliza kama ndo keshakuwa mlemavu na hataweza kuiacha? Hem soma tena babe
Yaani umeandika unadhani ni sifa na ufahari sana kuvaa muwani eehhhh....[emoji45] [emoji45]
Anyway, Mungu akusaidie sana hakika maana ungejua wengine sie tunavyo pata shida kwa hili janga....[emoji25] [emoji29]
 
Jamani umemuonea bwana ye mwenyewe anaonekana hapendezwi ndio maana ameuliza kama ndo keshakuwa mlemavu na hataweza kuiacha? Hem soma tena babe
Kipenzi.....
It is impossible kwa sisi wazee kumuelewa mtu mwenye anasifia ulemavu like "hii muwani ya 2.5 ikua nzuri na yenye kuvutia".
Kisha anaomba ushauri kama ndio anaendelea kutumia for the rest of his life...[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Noooopppp babe, this is absolutely ridiculous
 
Kipenzi.....
It is impossible kwa sisi wazee kumuelewa mtu mwenye anasifia ulemavu like "hii muwani ya 2.5 ikua nzuri na yenye kuvutia".
Kisha anaomba ushauri kama ndio anaendelea kutumia for the rest of his life...[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Noooopppp babe, this is absolutely ridiculous
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani anapata shida sema atakuwa anatokea kulle mpakani, msamehe babe.
 
Kipenzi.....
It is impossible kwa sisi wazee kumuelewa mtu mwenye anasifia ulemavu like "hii muwani ya 2.5 ikua nzuri na yenye kuvutia".
Kisha anaomba ushauri kama ndio anaendelea kutumia for the rest of his life...[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Noooopppp babe, this is absolutely ridiculous
Nimesema lenzi ya 2.5 inanipa UONO mzuri!!! Bwana mdogo Kiswahili kwako ni tabu sana? au umeamua kuwa mpumbavu wa makusudi?
 
Nimesema lenzi ya 2.5 inanipa UONO mzuri!!! Bwana mdogo Kiswahili kwako ni tabu sana? au umeamua kuwa mpumbavu wa makusudi?
Lenzi hii ya 2.5 ni nzuri sana kiasi kwamba NAONA vitu vyote kwa usahihi mpaka najisikia raha natamani niwe natizama tu. MAANA NAHISI macho yameponywa.

Naomba kuwasilisha mama....
 
Walikwambia ukianza kuvaa miwani utapona? Nijuavyo ukianza kuvaa miwani ndio basi tena
Huwa wanasema inawezekana macho yakaanza kujirudi kwenye ubora wake baada ya muda. Lakini kwangu naona hali tofauti.
 
Back
Top Bottom