Mkuu pole sana hilo tatizo lilinisumbuaga sana mwaka juzi,nilimeza dawa za minyoo,nikachemsha alovera nikanywa na kuogea hola.Nilienda kwa daktari makini sana akanipima akanipa ethromaizine ikagonga mwamba akanipima malaria akakuta nina malaria akanikuta na 3 akaniuliza unatumia dawa gani ya malaria nikamwambia amodaquine basi nikaenda nikanywa 3 x 2 nikaacha mkuu kesho yake muwasho ukakata.