Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Leo nimewalisha hela nyingi lakini sipati huduma ya internet.
Inakuwaje hii?
Inakuwaje hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapigie Mkuu. Huu mtandao unavyonza data sio mchezoLeo nimewalisha hela nyingi lakini sipati huduma ya internet.
Inakuwaje hii?
Mi nilishavunja line yao ya mashoga. Yaani kama unatumia hiyo line mbinguni huendi au ahera huioni kabisa. Huu ni mtandao wa shetaniLeo nimewalisha hela nyingi lakini sipati huduma ya internet.
Inakuwaje hii?
Hao jamaa tangu wabadilishe jina mtandao umekuwa wa ovyoLeo nimewalisha hela nyingi lakini sipati huduma ya internet.
Inakuwaje hii?
kivipi?Mi nilishavunja line yao ya mashoga. Yaani kama unatumia hiyo line mbinguni huendi au ahera huioni kabisa. Huu ni mtandao wa shetani
Unaharibu biashara za watu wewe hujawahi kutoa Yas?Tumieni haloteli, airtel,voda
Tunaofanya nao kaz itakuaj?Mi nilishavunja line yao ya mashoga. Yaani kama unatumia hiyo line mbinguni huendi au ahera huioni kabisa. Huu ni mtandao wa shetani
Mtafir. Wa wote 😂Vip sis
Tunaofanya nao kaz itakuaj?
Hata fiber yao kwangu inasumbua kila nikiwapigia wanasema tutafix ndani ya saa 24 lakini hakuna kituYas sasa hv ukinunua G5 za internet unatofauti na mtu aliyenunua mb za 500 ,maaana c Kwa Kasi waliyonayo ya kula mb ....
Ni huzunii