Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mshirika akiwa na uhitaji wa pesa anaambiwa inabidi aombwe maombi apate pesa au mafanikio lakini wahubiri wenyewe wa kisasa wakitaka pesa wanasisitiza sana washirika wamtolee mungu matoleo ya sadaka, Sasa kwa nini na wao wenyewe wasiombe na kumsubiria mungu awape baraka.
Kuna wengine wanatembea na bodyguards mabaunsa huku wanasisitiza sana mungu ndiye mlinzi wa watu wake.
Wengi ni matajiri wanaishi maisha ya anasa huku wanahubiri injili ya mtu aliyekuwa masikini na wanaohubiriwa wenyewe ni mafukara malofa wa kutupwa.
Kuna wengine wanatembea na bodyguards mabaunsa huku wanasisitiza sana mungu ndiye mlinzi wa watu wake.
Wengi ni matajiri wanaishi maisha ya anasa huku wanahubiri injili ya mtu aliyekuwa masikini na wanaohubiriwa wenyewe ni mafukara malofa wa kutupwa.