magari ya ikulu tuliweka chakachua,nati tulifunga za china,baada ya miaka mitano kila mwanafunzi atkuwa na kompyuta,tutajenga bararbara za juu kesho kutwa,wasomi wa yudom wamemchangia jk hela ya kuchukua fomu,tulinunua ndege ya rais isiyokuwa na injini,rada ya mwaka 47,tumempa mhindi vichwa vyote vya treni mshahara wa wafanyakazi tukalipa sisi,tbc tumewapa wachina,raisi mstaafu aliiba mgodi wetu tukamlipa fidia,nyumba za serikali tumegawana utafikiri tunahama,barabara wanatujengea wajomba zetu wachina baada ya miaka miwili repea,tuna flying presidaa,wafanyakazi hatuwezi kuwalipa kcc kinacholingana na hali ya maisha hata yesu akirudi,magereza tumeweka sofa ili wanene wakazuge huko wadanganyika wakipiga kelele,bajeti yetu inategemea pombe na fegi,uchumi unakuwa kwenye makartasi,tanzania bila ukimwi imewezekana bila kula.nk every where just jokes