Mizani ile mikubwa ya chuma inapatikana wapi?

pumzihaiuzwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2015
Posts
3,273
Reaction score
3,083
Salaam zenu jukwaa la biashara kwa wataalamu hivi mizani ile mikubwa ya chuma ya kupimia bidhaa mfano mchele kg 200 na kadhalika inapatikana wapi na je second hand au dukani ile ya mwingereza bei zake, pia na ya rafikizetu wa china na bei zake wapi hasa maeneo zinapo uzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…