Mizengo Pinda saidia kuharakisha mchakato wa Katiba uepuke laana ya uzeeni

Mizengo Pinda saidia kuharakisha mchakato wa Katiba uepuke laana ya uzeeni

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Pole na majukumu

Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.

Bahati nzuri wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima Kila siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!

Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio kwa kusaidia mchakato wa katiba uende Kasi kuliko kuuzorotesha kama makada wengi wa CHAMA wanavofanya.

Uepuke laana ya uzeeni Babu yangu!kiokoe kizazi chetu na udhalimu uliopo unaotafuna kizazi chako ewe Mzee!

Fanya kinyume na matarajio ya mteuzi wako Ili uikoe Tanzania yetu!utakumbukwa daima kama shujaa!waunge mkono kina Warioba na jenerali ulimwengu!!

Naamini utaufanyia kazi ushauri WANGU kwa KUWA huna cha kupoteza.

Mungu akutangulie Babu yangu.
MUNGU ibariki TANZANIA.
 
Babu
Pole na majukumu

Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.

Bahatit NZURI wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima KILA siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!!

Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio kwa kusaidia mchakato wa katiba uende Kasi kuliko kuuzorotesha kama makada wengi wa CHAMA wanavofanya.

Uepuke laana ya uzeeni Babu yangu!kiokoe kizazi chetu na udhalimu uliopo unaotafuna kizazi chako ewe Mzee!!

Fanya kinyume na matarajio ya mteuzi wako Ili uikoe Tanzania yetu!utakumbukwa daima kama shujaa!waunge mkono kina Warioba na jenerali ulimwengu!!


Naamini utaufanyia kazi ushauri WANGU kwa KUWA huna cha kupoteza.


Mungu akutangulie Babu yangu.
MUNGU ibariki TANZANIA.
HUYO NI MHAFIDHINA ndio hao wanaompotosha mama

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Babu
Pole na majukumu

Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.

Bahatit NZURI wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima KILA siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!!

Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio kwa kusaidia mchakato wa katiba uende Kasi kuliko kuuzorotesha kama makada wengi wa CHAMA wanavofanya.

Uepuke laana ya uzeeni Babu yangu!kiokoe kizazi chetu na udhalimu uliopo unaotafuna kizazi chako ewe Mzee!!

Fanya kinyume na matarajio ya mteuzi wako Ili uikoe Tanzania yetu!utakumbukwa daima kama shujaa!waunge mkono kina Warioba na jenerali ulimwengu!!


Naamini utaufanyia kazi ushauri WANGU kwa KUWA huna cha kupoteza.


Mungu akutangulie Babu yangu.
MUNGU ibariki TANZANIA.
Tuna kuombea maisha marefu Babu yetu, Ule mjadala wa Zanzibar ni Nchi au Si Nchi uliumaliza Kwa Hoja. WAZEE kama wewe ni hazina ktk Nchi.
 
Tuna kuombea maisha marefu Babu yetu, Ule mjadala wa Zanzibar ni Nchi au Si Nchi uliumaliza Kwa Hoja. WAZEE kama wewe ni hazina ktk Nchi.
Umetuonyesha Kwa mfano kuwa backbone ya UCHUMI wetu ni KILIMO na ufugaji. Asali inafanya vizuri ktk soko la Dunia.

Wakulima ktk makundi Yao watapata mtu wa kueleza changamoto za kilimo ambazo solution yake inahitaji mabadiliko ya KATIBA kimfumo.
 
Hivi mchaka
Babu
Pole na majukumu

Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.

Bahatit NZURI wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima KILA siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!!

Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio kwa kusaidia mchakato wa katiba uende Kasi kuliko kuuzorotesha kama makada wengi wa CHAMA wanavofanya.

Uepuke laana ya uzeeni Babu yangu!kiokoe kizazi chetu na udhalimu uliopo unaotafuna kizazi chako ewe Mzee!!

Fanya kinyume na matarajio ya mteuzi wako Ili uikoe Tanzania yetu!utakumbukwa daima kama shujaa!waunge mkono kina Warioba na jenerali ulimwengu!!


Naamini utaufanyia kazi ushauri WANGU kwa KUWA huna cha kupoteza.


Mungu akutangulie Babu yangu.
MUNGU ibariki TANZANIA.
Hivi mchakato wa KATIBA wakati wa Kikwete ulikwama spika akiwa Makinda au Sitta?
 
Hivi mchaka

Hivi mchakato wa KATIBA wakati wa Kikwete ulikwama spika akiwa Makinda au Sitta?
Kipindi kile Mh Pinda ni waziri mkuu, Zitttow kabwela alikuwa na AKILI zake zote kabisa. Alikuwa wa mottow.

Saiz wanakutana akiwa Timu moja, maisha hayatabiriki.
 
Pole na majukumu

Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.

Bahati nzuri wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima Kila siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!

Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio kwa kusaidia mchakato wa katiba uende Kasi kuliko kuuzorotesha kama makada wengi wa CHAMA wanavofanya.

Uepuke laana ya uzeeni Babu yangu!kiokoe kizazi chetu na udhalimu uliopo unaotafuna kizazi chako ewe Mzee!!

Fanya kinyume na matarajio ya mteuzi wako Ili uikoe Tanzania yetu!utakumbukwa daima kama shujaa!waunge mkono kina Warioba na jenerali ulimwengu!!

Naamini utaufanyia kazi ushauri WANGU kwa KUWA huna cha kupoteza.

Mungu akutangulie Babu yangu.
MUNGU ibariki TANZANIA.
Nchi hii Kweli Ina hazina ya viongozi, baada ya Kujiuzulu Mzee LOWASSA, Kila mtu alikuwa anawaza nani atakuwa mrithi wake.

Ghafula akaibuliwa kusikojulikana Mh Mizengo Peter Kayanza Pinda, alisaidia sana kubadili upepo wa iliyokuwa inaelekea CCM chini ya Mzee wa Msoga.

Hata sasa unaweza leta Nuru mpya ktk uongozi huu Kwa kurudisha Rasimu alosimamia Mzee WARIOBA mezani tuboreshe kidogo na Tuandike historia mpya ktk Nchi yetu. Amen
 
Pole na majukumu

Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.

Bahati nzuri wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima Kila siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!

Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio kwa kusaidia mchakato wa katiba uende Kasi kuliko kuuzorotesha kama makada wengi wa CHAMA wanavofanya.

Uepuke laana ya uzeeni Babu yangu!kiokoe kizazi chetu na udhalimu uliopo unaotafuna kizazi chako ewe Mzee!!

Fanya kinyume na matarajio ya mteuzi wako Ili uikoe Tanzania yetu!utakumbukwa daima kama shujaa!waunge mkono kina Warioba na jenerali ulimwengu!!

Naamini utaufanyia kazi ushauri WANGU kwa KUWA huna cha kupoteza.

Mungu akutangulie Babu yangu.
MUNGU ibariki TANZANIA.
Naamini Mzee Pinda ni ingizo jipya dakika ya 89 Kutoka JIKONI kuhakikisha yanafikiwa maslah mapana ya nchi. Amen.
 
Pole na majukumu

Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.

Bahati nzuri wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima Kila siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!

Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio kwa kusaidia mchakato wa katiba uende Kasi kuliko kuuzorotesha kama makada wengi wa CHAMA wanavofanya.

Uepuke laana ya uzeeni Babu yangu!kiokoe kizazi chetu na udhalimu uliopo unaotafuna kizazi chako ewe Mzee!!

Fanya kinyume na matarajio ya mteuzi wako Ili uikoe Tanzania yetu!utakumbukwa daima kama shujaa!waunge mkono kina Warioba na jenerali ulimwengu!!

Naamini utaufanyia kazi ushauri WANGU kwa KUWA huna cha kupoteza.

Mungu akutangulie Babu yangu.
MUNGU ibariki TANZANIA.
Kama hili bandiko halina unafiki ndani yake,basi Mh Pinda aufanyie kazi
 
Spika alikuwa makinda
Nimekumbuka, mchakato ulikwama Kwa Mh Sitta.

Mh Sitta alikuwa ndo mkt wa Bunge la Katiba na Makamu wake Yupo ni Mh Samia S Hassan.

Sauti Ile ya HAKI ilinyamazishwa bila kujali gharama wananchi walitoa Kodi kuugharamia, ktk Unabii mwenye dhamana kuu ya kuunyosha mchakato alikuwa Sitta, kushindwa KUSIMAMIA HAKI Leo hatunaye.

Bt Warioba yupo Hadi Leo, na haondoki Hadi amalizie KAZI.

Mchakato huu unarudi tena na wakati huu yule makamu wa Bunge la Katiba ndiye Rais.

Swali ni je:
1. Mh Samia S Hassan atarekebisha makosa ya Mkt wake Samwel Sitta kushindwa KUSIMAMIA mchakato ukamilike?

Jibu: Kwa nionavyo mm, Mh Samia S Hassan anaweza kurekebisha makosa ya mtangulizi wake Sitta kama alivyoweza kurekebisha baadhi ya mapungufu ya Ndugu Magufuli.

Amen and Amen
 
Nimekumbuka, mchakato ulikwama Kwa Mh Sitta.

Mh Sitta alikuwa ndo mkt wa Bunge la Katiba na Makamu wake Yupo ni Mh Samia S Hassan.

Sauti Ile ya HAKI ilinyamazishwa bila kujali gharama wananchi walitoa Kodi kuugharamia, ktk Unabii mwenye dhamana kuu ya kuunyosha mchakato alikuwa Sitta, kushindwa KUSIMAMIA HAKI Leo hatunaye.

Bt Warioba yupo Hadi Leo, na haondoki Hadi amalizie KAZI.

Mchakato huu unarudi tena na wakati huu yule makamu wa Bunge la Katiba ndiye Rais.

Swali ni je:
1. Mh Samia S Hassan atarekebisha makosa ya Mkt wake Samwel Sitta kushindwa KUSIMAMIA mchakato ukamilike?

Jibu: Kwa nionavyo mm, Mh Samia S Hassan anaweza kurekebisha makosa ya mtangulizi wake Sitta kama alivyoweza kurekebisha baadhi ya mapungufu ya Ndugu Magufuli.

Amen and Amen
Hakuna lolote CCM ni walewale
 
Hivi mchaka

Hivi mchakato wa KATIBA wakati wa Kikwete ulikwama spika akiwa Makinda au Sitta?
Nadhani spika wa bunge la kawaida alikuwa Makinda. Sitta alikuwa mwenyekiti wa bunge maalum la katiba, naibu wake akiwa Samia. ( I stand to be corrected)
 
Tumeambiwa mpaka miaka 9 kikosi kazi kitakuwepo. Wewe una haraka gani?

Ikipatikana katiba haraka si hawatakuwa na kazi?

Subiri mpaka 9yrs old
 
Back
Top Bottom