Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Dah!! Hii ni dalili yakusema hujampata Ms Valentine.... Karibu nyumbani, kuna mabinti wengi....
mi na mwali tushakuwa booked.
Mwali kavimba macho kule nyumbani from kulia... eti Ivuga kamtenda na kumchagua Kabakabana! (Yule kijana atanitambua mboona!) Eheee naskia upo juu umemnyakua Fang?? Umempataje? lol Me so proud of you...
furahi kuona wewe.....hope uko vizuri sasa......
Happy Valentine's.....Super Dear.....
wakuu!ile siku ya wapendanao iliyojaa mizengwe ya udanganyifu na utapeli wa kimapenzi hususani kwa walio na wapenzi wengi ndio hiyo inakuja!hebu mwaga stori yako uliyowahi kumpiga au kupigwa changa la macho ktk siku hii!yaweza pia kuwa stori ya kuona au kusikia ili watu wajifunze na kujiepusha na maumivu au kujiandaa kuyameza!karibuni wakongwe
furahi kuona wewe.....hope uko vizuri sasa......
Happy Valentine's.....Super Dear.....
Preta nasubiria jibu la Valentine for only tomorrow and not whatsoever another day
AshaDii karibu sana
Tulikumiss sana
hivi sijakwambia eeh.....kesho natoka na Ndallo....wewe jumatano bana.....
Dah!! Hii ni dalili yakusema hujampata Ms Valentine.... Karibu nyumbani, kuna mabinti wengi....
Preta nasubiria jibu la Valentine for only tomorrow and not whatsoever another day
AshaDii karibu sana
Tulikumiss sana
sawa mbona wakongwe wanarukaruka hawalet hayo ma experience?
ashadii,mi nimeshaoa na mtoto juu!Mungu yu mwema nafurahia ndoa yangu kila siku ipitayo!
hivi sijakwambia eeh.....kesho natoka na Ndallo....wewe jumatano bana.....
Mc Tilly Mbona sasa maneno yako yakukatisha tamma kwa ambao hawajapata? Huoni kama wawavunja moyo na wewe uko pazuri, si ilitakiwa basi uwape maoni hasi....
Niliwamiss pia Pal, how has it been.
Are you assured of your valentine buddy?