Maneno ya kutia moyo,Ila ni maneno tu! Watu hawakati tamaa kwa kupenda tu, Mambo yanakuwa mazito,fulsa, ni finyu, kitaani unaambiwa ajira hakuna, Mara utasikia tamisemi hawatoi tena ajira za, ualimu mpaka mwakani, lakini chini kwa chini, kuna watu wanaajiliwa kwa kupigwa simu Moja tu, 2000,nilikosa, nafasi, ya jeshi, hapo nipo kitaa mwaka mzima! Na ka degree kangu, nimeishatembeza bahasha Sana, zikichakaa, nanunua nyingine, sasa Leo 2023! Ugumu utakua kiasi gani?
Let's be brutal blunt, bongo/afrika ni ngumu kama jiwe, ajira hakuna, zimebaki, kazi,za, kubangaiza ili tusife tu,