mirindimo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2009 Posts 901 Reaction score 1,742 Jul 14, 2023 #1 Inadaiwa marekebisho ya mfumo yamepelekea mizigo kukwama airport kwa wiki sasa na hakuna taarifa ya lini mfumo utakaa sawa.
Inadaiwa marekebisho ya mfumo yamepelekea mizigo kukwama airport kwa wiki sasa na hakuna taarifa ya lini mfumo utakaa sawa.
Mwl.RCT JF-Expert Member Joined Jul 23, 2013 Posts 14,624 Reaction score 20,666 Jul 14, 2023 #2 mirindimo said: Inadaiwa marekebisho ya mfumo yamepelekea mizigo kukwama airport kwa wiki sasa na hakuna taarifa ya lini mfumo utakaa sawa Click to expand... Ongeza maelezo ili ujumbe ufike vyema.
mirindimo said: Inadaiwa marekebisho ya mfumo yamepelekea mizigo kukwama airport kwa wiki sasa na hakuna taarifa ya lini mfumo utakaa sawa Click to expand... Ongeza maelezo ili ujumbe ufike vyema.
Msafirishaji JF-Expert Member Joined May 28, 2016 Posts 1,693 Reaction score 2,641 Jul 14, 2023 #3 mirindimo said: Inadaiwa marekebisho ya mfumo yamepelekea mizigo kukwama airport kwa wiki sasa na hakuna taarifa ya lini mfumo utakaa sawa Click to expand... Agent wako anakutia ujinga kila siku mizigo inatoka hapo Airport huo mfumo umezuia mzigo wako pekee yako Mkuu Siku nyingine uwe unatoka hapo ofisini kwako nenda site.
mirindimo said: Inadaiwa marekebisho ya mfumo yamepelekea mizigo kukwama airport kwa wiki sasa na hakuna taarifa ya lini mfumo utakaa sawa Click to expand... Agent wako anakutia ujinga kila siku mizigo inatoka hapo Airport huo mfumo umezuia mzigo wako pekee yako Mkuu Siku nyingine uwe unatoka hapo ofisini kwako nenda site.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 14, 2023 #4 Inasikitisha sana...