Ujue bado ni asubuhi hii.. ndio maneno gani hayo wewe mtoto wa kirombo????acha uchoyo wewe ....yani wewe nimume wa mtu halafu mi niwe mchepuko nisubirie dudu tu na hatuna future.. kuchunwa lazima wewe na acha uchoyo unafikiria kutiwa na limwanaume limume la mtu ni raha .. pesa zenu ndiyo raha .. sikukuu njema mfyuuuuuu
samahani huyu anaharibia watu mipangoUjue bado ni asubuhi hii.. ndio maneno gani hayo wewe mtoto wa kirombo????
ushindwe weweUshindweeee!
Danga ushareset yeye anakuja kukutibulia... hahah polesamahani huyu anaharibia watu mipango
Mavazi unayo kwani utegemee mavazi toka kwangu siku zingine huwa unakuwa uchi kwanza raha tunapata wote kwataarifa hiyo laki ndio kila kutu mwanzo mwishohiyo laki natumaini aihusiki na nauli, mavazi, chakula, na vinywaji?
Mtupe hela tukiombaHahahaaah...... Mbavu zangu.... Teeteeeh... We Miss acha zako, we unatakaje kwa mfano!
Asante mkuu it's not fair kabisaDanga ushareset yeye anakuja kukutibulia... hahah pole
Papu zetu mnaziachaga salama?miss chagga on fire ww mipango yako na wallet zetu azijawah bak salama
Acha hizoMmh! Sio kwa usawa huu wa Magu my dear! Baada ya sikukuu hawapatikani hawa
Basi sikukuu njemaMavazi unayo kwani utegemee mavazi toka kwangu siku zingine huwa unakuwa uchi kwanza raha tunapata wote kwataarifa hiyo laki ndio kila kutu mwanzo mwisho
Kuna umuhimu mnoooo wa jando kurudishwa.Hahaaa. Mkiombwa nyie toweni si ndio wakati wake mana kila siku mnajiliza hata sikukuu pia. Lol