Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mambo vipi wakuu?
Kutokana na miangaiko ya utafutaji wa kila siku; imenibidi kutenga angalau siku mbili ndani ya wiki, nikashangae kwa kubadilisha mazingira ya hapa na pale; angalau nifurahie uwepo wa kuwa hapa duniani.
Sasa hivi, nipo hapa njia panda kwenye hichi kilima, kuelekea mbugani; namngojea huyu mrembo wa jf tuambatane naye ili anipe kampani.
Hofu yangu, naogopa asije akanipiga mizinga mizito mpaka nikapoteza fahani.
Wakuu, kwa uzoefu wenu; mizinga ya warembo wa humu, ni kama ile inayopigwa Ukraine au Somalia?
Kutokana na miangaiko ya utafutaji wa kila siku; imenibidi kutenga angalau siku mbili ndani ya wiki, nikashangae kwa kubadilisha mazingira ya hapa na pale; angalau nifurahie uwepo wa kuwa hapa duniani.
Sasa hivi, nipo hapa njia panda kwenye hichi kilima, kuelekea mbugani; namngojea huyu mrembo wa jf tuambatane naye ili anipe kampani.
Hofu yangu, naogopa asije akanipiga mizinga mizito mpaka nikapoteza fahani.
Wakuu, kwa uzoefu wenu; mizinga ya warembo wa humu, ni kama ile inayopigwa Ukraine au Somalia?