Mjadala huru kati ya CHADEMA na CCM, Hatma ya Taifa la Tanzania

Mjadala huru kati ya CHADEMA na CCM, Hatma ya Taifa la Tanzania

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu,

Leo kupitia hapa nitaendesha mjadala huru kabisa kati ya wapenzi, wakereketwa, na wanachama wa vyama viwili vikubwa vya siasa Tanzania CHADEMA na CCM.

Tutaangalia hatma ya nchi yetu kwa kuangalia mitazamo mbalimbali kama;
  • Ni nini Watanzania wafanye nchi iendelee na ipae kiuchumi?
  • CCM imefanya nini kuwatoa wananchi wake wanaoishi chini ya dola moja kwa siku?
  • CCM kama chama tawala kinafikiria nini juu ya vijana taifa la leo?
  • CHADEMA kama chama mbadala ambacho iko siku kitashika dola, kinafanya nini kubadili fikra za Watanzania ziwe fikra bora kabisa juu ya nchi yetu Tanzania?
Mambo mengi yataibuliwa na yajadiliwe kwa staha ili pande zote wajifunze. Mjadala ni huru japo inapolazimika nitakua nawataja members kadhaa watoe majibu ya ufafanuzi.

Karibuni kwa mnakasha huu.
 
Kwa nchi zote masikini, ili ufanikiwe unabidi kuwekeza katika juhudi zako binafsi na sio kuwasikiliza wana-siasa
 
Kwa nchi zote masikini, ili ufanikiwe unabidi kuwekeza katika juhudi zako binafsi na sio kuwasikiliza wana-siasa

Kuna kitu kinaitwa collective responsibility ni nini? Wanasiasa ndio wapanga dira na sera za nchi hawa ni watu muhimu kwa maendeleo ya Taifa zima au tusemeje?
 
Wakuu,

Leo kupitia hapa nitaendesha mjadala huru kabisa kati ya wapenzi, wakereketwa, na wanachama wa vyama viwili vikubwa vya siasa Tanzania CHADEMA na CCM.

Tutaangalia hatma ya nchi yetu kwa kuangalia mitazamo mbalimbali kama;
  • Ni nini Watanzania wafanye nchi iendelee na ipae kiuchumi?
  • CCM imefanya nini kuwatoa wananchi wake wanaoishi chini ya dola moja kwa siku?
  • CCM kama chama tawala kinafikiria nini juu ya vijana taifa la leo?
  • CHADEMA kama chama mbadala ambacho iko siku kitashika dola, kinafanya nini kubadili fikra za Watanzania ziwe fikra bora kabisa juu ya nchi yetu Tanzania?
Mambo mengi yataibuliwa na yajadiliwe kwa staha ili pande zote wajifunze. Mjadala ni huru japo inapolazimika nitakua nawataja members kadhaa watoe majibu ya ufafanuzi.

Karibuni kwa mnakasha huu.
FB_IMG_1575390800494.jpg
FB_IMG_1575390792397.jpg
FB_IMG_1575390806699.jpg
 
Ni nini Watanzania wafanye nchi iendelee na ipae kiuchumi?
yote weka pembeni kinachotakiwa kwa sasa ni kuangalia upya nini majukumu ya watawala na watawaliwa, tukae chini kama wananchi wa Taifa hili tuweke misingi thabiti na wajibu wa kila mmoja kati ya watawala na sisi watawaliwa.

Kwa maneno mengine ni KATIBA JINGINE MPYA, bila hilo ndugu tutakuwa tunapuyanga tu miaka nenda rudi matatizo yetu yapo palepale.
 
Back
Top Bottom