Ndugu Wanajamii habari, karibuni sana kwenye mdahalo unaohusu historia ya Afrika ilipotoka, Ilipo na Inapoelekea.
Mahali: Mbezi Beach, Daniel Chongolo Street, mkabala na Shule ya Msingi Daniel Chongolo Siku: Jumapili 05/03/2023 Muda: Saa nane mchana Chakula: Kitakuwepo kwa watakaowahi Kiingilio: Bure, kwa Mtanzania na mzaliwa wa Afrika. Mgeni(Foreigner) atalipia Shilingi 10,000/=