Mjadala huru: Nini kifanyike kuliepusha taifa na teuzi na tenguzi za mara kwa mara?

Mjadala huru: Nini kifanyike kuliepusha taifa na teuzi na tenguzi za mara kwa mara?

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,296
Reaction score
3,398
Heshima kwenu wakurungwa.

Katika kipindi cha miaka 8 iliyopita katika nchi yetu pendwa ya Tanzania kwa maana ya awamu ya 5 na ya 6 tumeshuhudia viongozi mbalimbali wakiteuliwa na mamalaka, hasa mamlaka ya Rais na pasi na kupita muda mrefu viongozi hao ama hubadilishwa vituo vya kazi, ama wengine hutenguliwa uteuzi wao kabisa, pasi na shaka hii ni kutokana viongozi hao kushindwa kuleta matokeo yaliyoyatarajiwa, na kiukweli hili limekuwa likiipa taifa hasara kubwa kwani uteuzi wowote mpya una gharama zake za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.

Mifano ya uteuzi ambayo imefanywa na kutenguliwa ipo mingi sana kuanzia ngazi za uwaziri mpaka ukurugenzi wa Halmashaur, mfano wa hivi karibuni ni aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Sumbawanga bi Jane Nyamsenda ambae aliteuliwa tarehe 25-01, 2023 na tarehe 09-03-2023 Uteuzi wake umetenguliwa, kwa kuteuliwa ndugu sixtus mapunda, bahati mbaya ni kuwa mamlaka inapofanya uteuzi au utenguzi haibainishi sababu, hivyo wote tunaishia kuhisi pengne sababu itakuwa ni hii na hii, ila kitu ambacho tunaweza kukubaliana pamoja ni kuwa sababu kuu ya utenguzi ni mteuliwa kushindwa kuleta matokeo au matarajio chanya, hivyo lengo la makala hii ni kupendekeza mawazo mbadala ambayo yatasabisha kupata wateuliwa sahihi(rationale/perfect appointee) ili kulipepusha taifa na teuzi za mara kwa mara

1-Uwepo leadership inventory system/data -hii inaweza kusaidia kupata watu sahihi katika sehemu sahihi kwani kupitia uwepo wa inventory itapeleka taarifa za possible appointee na existing leader kuwekwa pamoja, na hivyo mamlaka inapotaka kufanya uteuzi inakuwa na sehemu sahihi ya kufanya rejea, katika inventory hii taarifa mbalimbali za wahusika zitawekwa ikiwemo taarifa binafsi, taarifa za wenza,academic na work experience, pamoja na career development, halikadhalika kwenye invetory hiyo hiyo pia zitawekwa taarifa za major accomplishment za wahusika, major strength na major weakness zao, hizi taarifa zote zitasaidia kujua wapi appointee ni bora na wapi si bora anahitaji kuongezewa ujuzi, au awekwe wapi(sekta) ambapo udhaifu wake hautaathiri utendaji wa kazi, kitu muhimu cha kuzingatia hapa ni watendaji wa taasis hii (leadership inventory system /data) ni lazima wawe waadilifu na waaminifu na ikiwezekana ufanyaji kazi na uwepo wao uwe ni wa siri kwani baadhi ya wanufaika (possible appointee) wanaweza kutaka kuhonga ili data zao zichakachuliwe katika namna itakayopendeza mamlaka

2-Kuandaliwa kwa possible(potential) appointee-kila mtanzania ana haki ya kuwa kiongozi na mtumish wa umma lakini ni ukweli usiopingika sio kila mtanzania anafaa kuwa kiongozi,kwa mawazo na maoni yangu kiongoz bora ni lazima awe ameandaliwa na awe amejiandaa yeye mwenyewe in advance ,hii itaepusha kiongozi anapokuja katika mfumo kukaa muda mrefu kujifunza namna ya kufanya kazi wakati huohuo akisubirwa kufanya maamuzi ya kitaasisi na kiserikali kwa ujumla au kuogopoa kufanya maamuzi kwa waswas kuwa ataenda kinyume na utaratibu uliozoeleka,hili linaweza kurekebishwa kwa anaetarajiwa kuwa appointed kuandaliwa tofauti na sasa ambapo baadhi huteuliwa ghafla wakiwa hawajijui na wakiwa hawajajiandaa,hvyo kupelekea wengne kuja makazini wakiwa na inferiority complex na kupelekea baadhi yao kuperform chini ya kiwango,wengne huchukua muda mrefu kufanya maamuzi kwa kuogopa.,hili linaweza kurahisishwa kwa kuwa na chuo maalum cha kupika viongoz wanaotarajiwa.ili wanapoingia madarakan waact accordingly (sheria,taratibu na kanuni+ubunifu ) ndan ya muda mfup

3-Kuipa kipaumbele internal promotion -hapa namaanisha watumish wa ngazi za chini ambao wana uwajibikaj mzur,wapewe nafas kushika nafas za juu zaidi badala ya kuteuwa completely new person kutoka nje ya system kwani baadhi yao kwa kuwa hawakuwa katika system ya utumish hufanya maamuzi kinyume na utaratibu na wengne huogopa kufanya maamuzi na kuwaachia subordinates wao,kufanya kwa badala yao au huwategemea zaid katika ushaur na mwisho wa siku kunakuwa hamna mawazo mapya yaliyotegemewa hapo awali,mfano uteuzi wa katibu tawala ,kimuundo katibu tawala ndiyo mkuu wa watumish aidha katika wilaya au mkoa,hvyo anapaswa awe role model na msaada kwa watumish wote,uteuzi wa mtu aliye nje ya mfumo kutekeleza majukumu haya lazima iwe changamoto kwani ni nadra kwa ambae hakuwah kuwa mtumish wa umma kujua A-Z ya mambo ya kiutumish,pia hili litasaidia kuwapa morali watumish wa ngaz za kawaida (chini)kuperform zaidi

Naomba kuwasilisha kwa ajili ya mdahalo,na nyongeza ya alternatives,

NB:Lengo la makala hii sio kukosoa au kukejeli maamuzi yaa mamlaka bali kusaidia mawazo mbadala na kuboresha zaid ili mamlaka isiwe inapata shida kwenye teuzi na ipate perfect appointee kila iwezekanapo.
 
Tunahitaji Katiba mpya itayotanabaisha TEUZI za Rais.
 
Rais anatakiwa awe responsible kwa wananchi, atoe sababu kwetu za kuteua na kutengua kila mara akifanya hivyo.

Hiki kipengele kiongezwe sasa kwenye hii Katiba tuliyonayo, kisisubiri Katiba Mpya.
 
Watanganyika fanyeni maandamo mvamie pale Ikulu acheni kuwa waoga. Kila uchwao mtaendelea kulalamika bila kupata suluhu, washeni moto haswa.
 
Kazi zufuatazo watu waombe na wachujwe kwenye usaili..
¹. Wakurugenzi..
². Wakuu wa Mikoa
³. Ma RAS
⁴. Wakuu wa Wilaya
⁵. Ma DAS..
 
Anae wateua na wano teuliwa wote ni wale wale tu, taifa lenye watu timamu lazima tuwe na mfumo mzuri wa kuwapata viongozi wa ngazi kubwa za juu kama Rais na makamu wake, waziri mkuu, mkuu wa majeshi na sio kuokota okota kama walivyo muokota huyu mama ambae ni mwepesi sana kichwani.
 
Kazi zufuatazo watu waombe na wachujwe kwenye usaili..
¹. Wakurugenzi..
². Wakuu wa Mikoa
³. Ma RAS
⁴. Wakuu wa Wilaya
⁵. Ma DAS..
Kwa kauzoefu kangu kadogo usaili sio kila kitu kwa baadhi ya nafas,wapo waliofanya usaili na mwisho wa siku wakapatikana watumish wenye utendaj wa chini, kwani kiuhalisia kwenye interview za kiafrika kuna mambo meng sana ndan yake hutokea,japo inaweza kusaidia kwa kias fulani.
 
Sasa viongozi hao wanapatikana kwa style ya sanda kalawe,mwenye kupata apate!!utegemee nini?Tatizo litakuwa kwenye mamlaka ya uteuzi,!!Katiba ya warioba imelieleza hili vizuri.
 
Kazi zufuatazo watu waombe na wachujwe kwenye usaili..
¹. Wakurugenzi..
². Wakuu wa Mikoa
³. Ma RAS
⁴. Wakuu wa Wilaya
⁵. Ma DAS..
Na wakiomba waandae andiko linaloonesha maono yao (vision), malengo, mikakati waliyonayo. kisha wakipata kuteuliwa wapewe muda wa matazamio ktk kusimamia,ketekeleza yale waliyoazimia na majukumu mengine aliyopewa na yaliyomo ktk kada aliyoomba. tunakosa viongozi wenye maono, tunakosa viongozi wabunigu,..uongozi umegeuka ajira km zilivyo nyingine kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii/taifa.

Hii inapelekea wateuliwa kushindana kusifu hata ujinga, kuwa wanafiki na kujipendekeza kwa mamlaka za uteuzi na wapambe. Huu umeshakuwa ndio utamaduni na sifa kuu ya kupata uteuzi au kulinda uteuzi. Hata walioko nje ya teuzi wanashindana kujipendekeza na kufanya unafiki na fitina kwa kua kwa sasa hizo ndizo sifa.

Teuzi za ukada zinaliangamiza taifa.
 
Na wakiomba waandae andiko linaloonesha maono yao (vision), malengo, mikakati waliyonayo. kisha wakipata kuteuliwa wapewe muda wa matazamio ktk kusimamia,ketekeleza yale waliyoazimia na majukumu mengine aliyopewa na yaliyomo ktk kada aliyoomba. tunakosa viongozi wenye maono, tunakosa viongozi wabunigu,..uongozi umegeuka ajira km zilivyo nyingine kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii/taifa.

Hii inapelekea wateuliwa kushindana kusifu hata ujinga, kuwa wanafiki na kujipendekeza kwa mamlaka za uteuzi na wapambe. Huu umeshakuwa ndio utamaduni na sifa kuu ya kupata uteuzi au kulinda uteuzi. Hata walioko nje ya teuzi wanashindana kujipendekeza na kufanya unafiki na fitina kwa kua kwa sasa hizo ndizo sifa.

Teuzi za ukada zinaliangamiza taifa.
Well said..
 
Heshima kwenu wakurungwa.

Katika kipindi cha miaka 8 iliyopita katika nchi yetu pendwa ya Tanzania kwa maana ya awamu ya 5 na ya 6 tumeshuhudia viongozi mbalimbali wakiteuliwa na mamalaka, hasa mamlaka ya Rais na pasi na kupita muda mrefu viongozi hao ama hubadilishwa vituo vya kazi, ama wengine hutenguliwa uteuzi wao kabisa, pasi na shaka hii ni kutokana viongozi hao kushindwa kuleta matokeo yaliyoyatarajiwa, na kiukweli hili limekuwa likiipa taifa hasara kubwa kwani uteuzi wowote mpya una gharama zake za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.

Mifano ya uteuzi ambayo imefanywa na kutenguliwa ipo mingi sana kuanzia ngazi za uwaziri mpaka ukurugenzi wa Halmashaur, mfano wa hivi karibuni ni aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Sumbawanga bi Jane Nyamsenda ambae aliteuliwa tarehe 25-01, 2023 na tarehe 09-03-2023 Uteuzi wake umetenguliwa, kwa kuteuliwa ndugu sixtus mapunda, bahati mbaya ni kuwa mamlaka inapofanya uteuzi au utenguzi haibainishi sababu, hivyo wote tunaishia kuhisi pengne sababu itakuwa ni hii na hii, ila kitu ambacho tunaweza kukubaliana pamoja ni kuwa sababu kuu ya utenguzi ni mteuliwa kushindwa kuleta matokeo au matarajio chanya, hivyo lengo la makala hii ni kupendekeza mawazo mbadala ambayo yatasabisha kupata wateuliwa sahihi(rationale/perfect appointee) ili kulipepusha taifa na teuzi za mara kwa mara

1-Uwepo leadership inventory system/data -hii inaweza kusaidia kupata watu sahihi katika sehemu sahihi kwani kupitia uwepo wa inventory itapeleka taarifa za possible appointee na existing leader kuwekwa pamoja, na hivyo mamlaka inapotaka kufanya uteuzi inakuwa na sehemu sahihi ya kufanya rejea, katika inventory hii taarifa mbalimbali za wahusika zitawekwa ikiwemo taarifa binafsi, taarifa za wenza,academic na work experience, pamoja na career development, halikadhalika kwenye invetory hiyo hiyo pia zitawekwa taarifa za major accomplishment za wahusika, major strength na major weakness zao, hizi taarifa zote zitasaidia kujua wapi appointee ni bora na wapi si bora anahitaji kuongezewa ujuzi, au awekwe wapi(sekta) ambapo udhaifu wake hautaathiri utendaji wa kazi, kitu muhimu cha kuzingatia hapa ni watendaji wa taasis hii (leadership inventory system /data) ni lazima wawe waadilifu na waaminifu na ikiwezekana ufanyaji kazi na uwepo wao uwe ni wa siri kwani baadhi ya wanufaika (possible appointee) wanaweza kutaka kuhonga ili data zao zichakachuliwe katika namna itakayopendeza mamlaka

2-Kuandaliwa kwa possible(potential) appointee-kila mtanzania ana haki ya kuwa kiongozi na mtumish wa umma lakini ni ukweli usiopingika sio kila mtanzania anafaa kuwa kiongozi,kwa mawazo na maoni yangu kiongoz bora ni lazima awe ameandaliwa na awe amejiandaa yeye mwenyewe in advance ,hii itaepusha kiongozi anapokuja katika mfumo kukaa muda mrefu kujifunza namna ya kufanya kazi wakati huohuo akisubirwa kufanya maamuzi ya kitaasisi na kiserikali kwa ujumla au kuogopoa kufanya maamuzi kwa waswas kuwa ataenda kinyume na utaratibu uliozoeleka,hili linaweza kurekebishwa kwa anaetarajiwa kuwa appointed kuandaliwa tofauti na sasa ambapo baadhi huteuliwa ghafla wakiwa hawajijui na wakiwa hawajajiandaa,hvyo kupelekea wengne kuja makazini wakiwa na inferiority complex na kupelekea baadhi yao kuperform chini ya kiwango,wengne huchukua muda mrefu kufanya maamuzi kwa kuogopa.,hili linaweza kurahisishwa kwa kuwa na chuo maalum cha kupika viongoz wanaotarajiwa.ili wanapoingia madarakan waact accordingly (sheria,taratibu na kanuni+ubunifu ) ndan ya muda mfup

3-Kuipa kipaumbele internal promotion -hapa namaanisha watumish wa ngazi za chini ambao wana uwajibikaj mzur,wapewe nafas kushika nafas za juu zaidi badala ya kuteuwa completely new person kutoka nje ya system kwani baadhi yao kwa kuwa hawakuwa katika system ya utumish hufanya maamuzi kinyume na utaratibu na wengne huogopa kufanya maamuzi na kuwaachia subordinates wao,kufanya kwa badala yao au huwategemea zaid katika ushaur na mwisho wa siku kunakuwa hamna mawazo mapya yaliyotegemewa hapo awali,mfano uteuzi wa katibu tawala ,kimuundo katibu tawala ndiyo mkuu wa watumish aidha katika wilaya au mkoa,hvyo anapaswa awe role model na msaada kwa watumish wote,uteuzi wa mtu aliye nje ya mfumo kutekeleza majukumu haya lazima iwe changamoto kwani ni nadra kwa ambae hakuwah kuwa mtumish wa umma kujua A-Z ya mambo ya kiutumish,pia hili litasaidia kuwapa morali watumish wa ngaz za kawaida (chini)kuperform zaidi

Naomba kuwasilisha kwa ajili ya mdahalo,na nyongeza ya alternatives,

NB:Lengo la makala hii sio kukosoa au kukejeli maamuzi yaa mamlaka bali kusaidia mawazo mbadala na kuboresha zaid ili mamlaka isiwe inapata shida kwenye teuzi na ipate perfect appointee kila iwezekanapo.
Katiba mpya.
 
Back
Top Bottom