Kitaalam wanasema hakuna madhara ya kitabibu zaidi ya STDs. Wengine wanasema inasaidia ku-relieve cramps.
Ila vitabu vya dini kama biblia inakataza kujamiana wakati wa hedhi.
Lakini na sisi wanaume (wenye ndoa) kwani hatuna kiasi?
Think of dirty sheets and mild odor, dont you find disgusting?
Binafsi siamini kwamba its just about the man releasing the load, should that be the case basi wa hivyo wanapatika Ohio ama Ambiance-Afrika Sana.
Sasa kama 4-5 days huwezi kuvumilia akizaa unaanza kumdandia the next day? Na kwa wanaoshauri mdomo una matumizi zaidi ya kula chakula watafanya hivyo during this time?
Lakini kama mmeamua wote wawili kuchakachuana wakati ke yuko hedhi basi mnashauriwa pengine mfanyie bafuni while taking a shower. Sasa kama unakaa nyumba ya kupanga yenye bafu lipo nje tena ni pasipoti size mbinu hii haikufai kwako.
Mkifanyia kitandani basi tumia kondom esp kondom ya kike.
Doing it bare footed it might get itchy kwa mwanaume iwapo damu itakaukia kwenye mtaimbo, so you should both wash up quickly after you finish sio kufuta tu.
Mwisho wa siku: All Ladies out there dont worry too much about men, it is because of these (worries) some(men) take you for granted.
Ukiwa hedhi utafanya sarakasi zote ili a-plug in mdudu wake ili kudauni lodi lakini ujue kama huyo mwanaume ni KUNGURU basi hawa huwa hawafugiki.