MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

Duuuh kwel.......... Ss hapa tvs vs boxer
 
Duuuh kwel.......... Ss hapa tvs vs boxer
 
Natumia TVS 150 kwa mwaka mzima sasa, hakuna kitu nilichobadilisha zaidi ya mfuniko( koki) ya oil iliyovunjwa na fundi asiyejielewa. Nimetembea 21000km Hadi sasa. Naenda kwenye mihangaiko yangu ambayo ni 30km. Kwenda na kurudi naweka 1 lita . Ila nilichogundua matumizi ya mafuta yanategemeana na speed.

Kwa mfano nikiweka hiyo Lita 1 nikatembea speed ya 80 -100 , hiyo Lita sitafika nyumbani siku hiyo. Ila ukitembea 60-70 mafuta yanabaki kibao
 
Ila Nina jamaa zangu wanatumia TVS 125. Wao mafuta ndo hatari. Ni Kama inanusa tu. Ila Kama safari zako ni za milimani Kama Mimi TVS 150 ndo habari ya huko milimani. Unaweza panda mlima umepakia mshikaki na speed ya 70 Hapo upo namba 4 bila wasiwasi
 
So ni bora kuliko boxer?
 
Ila Nina jamaa zangu wanatumia TVS 125. Wao mafuta ndo hatari. Ni Kama inanusa tu. Ila Kama safari zako ni za milimani Kama Mimi TVS 150 ndo habari ya huko milimani. Unaweza panda mlima umepakia mshikaki na speed ya 70 Hapo upo namba 4 bila wasiwasi
Duuh... Inahamasishaaa aisee...... Wanasema boxer miliman inachoka haraka..... Kwel!??
 
Duuh... Inahamasishaaa aisee...... Wanasema boxer miliman inachoka haraka..... Kwel!??
Yaani Hapo kwenye milima TVS inatembea. Kiufupi nikiwa kwenye mishe zangu hakuna sehemu nakwama. Ila inahitaji uangalifu zinatembea sana
 
Asanteni kwa ushaur, ss najua nichukue ip!!.....

Ss naomba kutolewa ushamba juu ya nn cha kufanya baada ya kununua chombo cha moto mfano pkpk au gari, iwe mpya na ikiwa used/second hand.....,, @All
 
Honda click au verion unazijua?
 
Tvs ndo mpango, ina nguvu na inadumu sana, na muonekano safi. Hata fuel consumption iko vizuri. Hata njia za vumbi inadumu, sio kama Boxer mayai

Sema tu, stability ukiwa katika speed kubwa sana kama ina kuwa nyepesi mno ,hapo boxer ndio wapo vzuri.

Kama wataka kazi kazi, hata kubeba miizigo, mishkaki, sun lg, Hauje ndio best, shock up zake ngumu, inadumu, ina nguvu, sema muonekano ndio sio mtamu. Unaweza paki sehem watu wakajua wew ni boda boda, miluzi ikawa mingi.

Honda ipo kote ime balance.

Hizo zingine sijawah tumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…