Mwl Evarist Mchele
Member
- Jul 21, 2020
- 57
- 60
Tafuta haojue yenye share technology na suzuki Japan ni machine nzuri sana unapata mpya kwa 3.5M
Hiyo inauzwa 3M
Bei gan mkuuHazina mnyororo na ni autoView attachment 1123367
Changamoto zake ni kma zipi mkuu125, 2016
boxer then tvs then honlg(hizi nimeziona moshi tu wanabebea mirungi) toyo kisha upuuzi mwngine unaofuata ila cha kukushauri ni kwamba boxer na tvs spare zake ni ghali sana kama ni ya kazi ngumu bora uchukue honlg
Maduka yapo wapi kwa hapa DarPikipiki ni matunzo yako mkuu, Boxer ukiitunza utadumu nayo muda mrefu. Spea zipo ila bei yake ipo juu tofauti na mchina. Mafundi wapo kila sehemu pikipiki hizo zimesambaa sana.
Ukitaka uishi nayo muda mrefu ukifanya service ya kumwaga oil kumbuka kubadili Oil filter na kusafisha air cleaner, exhaust iache hiyohiyo usiweke au kuchezea ili iwe na makelele.
Mkuu hii mashine kubwa Sana lazima aje alalamike inakula mafuta.Kama itakuwa kwa matumizi ya nyumbani peke yake chukua HONDA CB 1100 EX. Hii haifai kwa biasharaView attachment 1810192View attachment 1810193View attachment 1810194View attachment 1810192
Bei yake Sh ngapi ?Mkuu hii mashine kubwa Sana lazima aje alalamike inakula mafuta.
Bora achukue Honda CB400 Super Four au Honda CB250 zote hizi ni 4-cylinder na liquid cooled pia mafuta zinatumia vizuri Lita 1 unaenda mpaka 25km.
Used ya Honda CB 400 unaweza kupata kuanzia million 7 ila CB 250 hata million 5 unapata matoleo ya 2004 kushuka chini ambazo zilikuwa zina mfumo wa Carburetor.Bei yake Sh ngapi ?
Kwa pikipiki ya kichina inawezekana kubadili block/piston 125cc kwenda 150cc Ila 200 haiwezekani sababu ni kubwa haitofunga.Ivi unaweza badilisha cylinder head ya pikipiki ukatoa ya 125cc ukaweka 150cc au 200cc?
Picha tafadhalTafuta haojue yenye share technology na suzuki Japan ni machine nzuri sana unapata mpya kwa 3.5M
Hiyo inauzwa 3M
Inategemea na locationTwende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.
Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7. Houjo
---
---
---
---
---
---
---
---
---
Mkuu njo inbox kidogo tupeane uzoefu mkuuHonlg 150-4
price 2.5 mill ndo maamuzi niloamua kuyafanya kwa wiki ya pili sasa naona tofauti kubwa na yamaha 125 hiii imetulia barabarani haiyumbi (sio nyepesi ukiwa kwenye spid)
Haiumizi mgongo kwa maana spring yake haidundi sana.
breki zake ziko perfect hata ikitokea ni ghafla
iko comfortable sana katika bamsi na barabara mbovu (rough road)
kingereza changu hakijaenda shule.
ahsanteni sana
USHAURI
Kwa matumizi ya kibiashara nakushauri nenda HOUJUE.... NGUMU, MUONEKANO MZURI, INA NGUVU
inbox ya nini unataka kutongoza?kama mleta uzi angeenda inbox ungepata kujua haya?Mkuu njo inbox kidogo tupeane uzoefu mkuu