Sasa huo usawa utapatikana vipi Kwa huu mtifuano unaoendelea Kati Yao wenyewe?Na hili likifanyiwa kazi ....kama kutakuwa na usawa kati ya hivi 2 simba itakuwa ni giant
Kwamba tuishikilie Ile principal ya divide and rule [emoji23][emoji23]Sasa huo usawa utapatikana vipi Kwa huu mtifuano unaoendelea Kati Yao wenyewe?
Hawa Wana mda mrefu Sana wa kuelewana, Sisi kazi yetu NI kuchochea kuni tu Hali iwe mbaya zaidi
Na huo ndio utaratibu Bora zaidi kutumia ili kumuangamiza mpinzani wakoKwamba tuishikilie Ile principal ya divide and rule [emoji23][emoji23]
Hamna kichomi Bob, Simba ni mbovu ktk mechi zoote ilizocheza msimu, Sisi watu wa figisu tunajazia tuKuna shabiki aliitambua hii akawa analalamika kuwa Kila ikifika mechi ya 8 Simba inapigwa kichomi..[emoji1]
Hahahaha kwahiyo, unataka Try again aikabidhi kwa mashabiki au kiongozi wa mashabikiOk ngoja tuichambue kidogo supu ya jana
Supu ya jana imewatouch direct wananchi hivyo kuongeza sense of belonging Kwa Wananchi dhidi ya timu yao
Tuzo ya Simba ....itabaki Kwa viongozi tu .... that's y aliyeishika ni try again ....na si ww[emoji23][emoji23]
[emoji2772][emoji2772][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kweli kuna mtu anaamini mashabiki wa simba ni bora kuzidi mashabiki wa Raja, Wydad, Ahly? seriously?
Wafe tu, wakifa huo ni ujinga wao, hautuhusu sisiMtauwa mashabiki mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongera zenu Kwa kupata tuzo ya kijinga Sana tena ktk mechi moja tu
Hii inawakumbusha kwamba mnacho kikosi Bora cha kushangilia kuliko kikosi cha kushinda Mechi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili nalo tulitazame [emoji1]Ile tuzo wamewapa kama kutusanifu kutuona wajinga.yaani tuzo apewe dunduka halafu maudhui ya tuzo yanatangazia utalii wa nchi ya Rwanda. Maandishi makuubwa tembelea Rwanda .
Sijui tutaamka lini sisi watanzania.