Steve bruce[emoji106][emoji106]Kwangu Mimi ningempa kazi Jadin au steve Bruce au Ryan giggs
Hata Jadin yuko vizuri sana ukiona kikosi cha Monaco kinavyopiga kazi unapata picha Moja kuwa kiko chini ya kocha mzuri sanaSteve bruce[emoji106][emoji106]
huo mfumo bora na mbinu vinatoka wapi ?
Uyo atatengeneza History kama Arsenal hatumtakiMpeni wenger atengeneze chemistry then baada ya miaka 3 apewe zidane, hapo mambo yatakaa sawia
Mambo ya nje ya uwanja ndiyo yanayoiathiri man uNadhani United wamekosa motivation tuu,team wanayo mzuri.kocha yeyote akija pale anaweza kuwafikisha mbali
Misimu miwili iliyopita walikuwa vizuri mno kuanzia uefa hadi ligi na Moira wao ulikuwa mzuri mkuu ila msimu huh mpaka sasa wanakamata nafasi ya 18 hawafungi goli zaidi ya 2 kwa mechi na uefa hawajashinda hata game wamefunga goli 1 na kufungwa 5Hata Jadin yuko vizuri sana ukiona kikosi cha Monaco kinavyopiga kazi unapata picha Moja kuwa kiko chini ya kocha mzuri sana
Zidane anakuja kuchafua jina lake.Wakuu kuna mjadala umeibuka duniani baada ya timu ya Man U kupoteza mwelekeo , bila shaka Morinho anatakiwa kutimuliwa haraka , lakini je huyu anayetajwa kumrithi anaweza kweli kuirudisha timu hii kwenye mstari ? je ni kweli Zidane anao uwezo wa kubadili mawe kuwa mikate ?
Kikosi chao kimeondokewa na wachezaji sita muhimu lazima hii downfall iwepo na hawajafanya replacementMisimu miwili iliyopita walikuwa vizuri mno kuanzia uefa hadi ligi na Moira wao ulikuwa mzuri mkuu ila msimu huh mpaka sasa wanakamata nafasi ya 18 hawafungi goli zaidi ya 2 kwa mechi na uefa hawajashinda hata game wamefunga goli 1 na kufungwa 5