Mjadala kuhusu Binadamu na Mungu

Mjadala kuhusu Binadamu na Mungu

matinee

Member
Joined
Feb 21, 2020
Posts
22
Reaction score
20
Habari wanajamvi?natumai wote niwazima.
kwa mujibu wa imani zetu wapo wanao amini binadamu ameubwa na MUNGU,hii nikutokana na simulizi na vitabu vya dini.

pia wapo ambao wana pinga kwamba kwamba binadamu wamemuumba MUNGU,hii inatokana binadamu kushindwa kujua mwanzo wake nawaka amua kusema yupo mwenye nguvu aliye tuumba.

pia wapo wanao amini kwamba aliye tuumba yupo ila sio huyu anaye tajwa kwenye vitabu wala simulizi zakale,yeye mwenye nguvu muumbaji yupo baada ya kuumba ulimwengu na sheria zake(kanuni) na viumbe hana mpango navyo kwa maana ulimwengu unajiendesha wenye automatic.

Swali,je Mungu amemuumba mwana damu au mwanadamu amemuumba Mungu baada ya kushindwa kujua mwanzo na hatima yake baada ya kufa? Naomba kuwasilisha.
 
Ww mkuu km ww upo upande gan mpk ss kati ya mwanadamu kumuumba MUNGU na MUNGU kumuumba mwanadamu????
 
Atheist mdaa huu kwenye moja na mbili ya kusapport harakati
 
swali hili halina jibu la moja kwa moja kwasababu hakuna anayejua,wote tumejikuta tupo na kwa bahati mbaya sana watu zamani hawakujua kuandika huenda wangetunza kumbukumbu.
 
Mungu haitaji vitabu vyako dini kufahamika, kila binadamu anakubali kuwa huu ulimwengu haujatokea kwa bahati Mbaya, kilicho sababisha ulimwengu kutokea na kila kilichomo huyo ndio Mungu wa ukweli, huyu Mungu tunao sikia kwenye vitabu ni utapeli ndio maana wana wivu wa kike kwa vitu vidogo
 
Nguvu ya uumbaji ipo hapa hapa ulimwenguni na haipo katika mfumo wa kiumbe hai, haina ufahamu wala mpango wowote ila hawa mababu wawili wasioonekana tunaosimuliwa kwenye vile vitabu viwili maarufu kwamba wapo uko mawinguni hapa wazungu na waarabu walitupiga na kitu kizito
 
Nguvu ya uumbaji ipo hapa hapa ulimwenguni na haipo katika mfumo wa kiumbe hai, haina ufahamu wala mpango wowote ila hawa mababu wawili wasioonekana tunaosimuliwa kwenye vile vitabu viwili maarufu kwamba wapo uko mawinguni hapa wazungu na waarabu walitupiga na kitu kizito
Hapo sawa ila bado kuna ukakasi kwamba hii dunia imeumbwa kwa material sasa haya Material yametoka wapi na nani aliamua ki2 kitokee
 
Hapo sawa ila bado kuna ukakasi kwamba hii dunia imeumbwa kwa material sasa haya Material yametoka wapi na nani aliamua ki2 kitokee
Sayansi imeelezea jinsi dunia ilivyotokea jaribu kutafuta maarifa hata hivyo kuna tofauti ya miaka mingi sana kati ya ulimwengu na modern humanbeing. Inakadiliwa ulimwengu ulitokea miaka bilion 13 iliyopita wakati binadamu wa sasa hajafikisha hata miaka milioni 10 tu, lazima tukubali kwamba hatuwezi kuwa na jibu la kila kitu tukisema tutafute origin ya kila kitu kwenye kila backward point tutakayofika litaibuka swali jipya je chanzo cha hii point ni nini? ni vyema tukabaki na swali ambalo kwa sasa hatuna jibu kwa lengo la kuendelea kufanya udadisi kuliko kubeba jibu lolote hata kama halina mtililiko wa kimantiki ilimradi tu swali husika lisikose jibu.. kwaiyo pale ambapo maarifa yetu yameishia tukubali hapa hatujui hii italeta chachu ya watu kudadisi zaidi na kuja na jibu ila sio kudumaza akili kwa kupachika hekaya za uyo invisible old man aliejificha uko mawinguni.
 
Sayansi imeelezea jinsi dunia ilivyotokea jaribu kutafuta maarifa hata hivyo kuna tofauti ya miaka mingi sana kati ya ulimwengu na modern humanbeing. Inakadiliwa ulimwengu ulitokea miaka bilion 13 iliyopita wakati binadamu wa sasa hajafikisha hata miaka milioni 10 tu, lazima tukubali kwamba hatuwezi kuwa na jibu la kila kitu tukisema tutafute origin ya kila kitu kwenye kila backward point tutakayofika litaibuka swali jipya je chanzo cha hii point ni nini? ni vyema tukabaki na swali ambalo kwa sasa hatuna jibu kwa lengo la kuendelea kufanya udadisi kuliko kubeba jibu lolote hata kama halina mtililiko wa kimantiki ilimradi tu swali husika lisikose jibu.. kwaiyo pale ambapo maarifa yetu yameishia tukubali hapa hatujui hii italeta chachu ya watu kudadisi zaidi na kuja na jibu ila sio kudumaza akili kwa kupachika hekaya za uyo invisible old man aliejificha uko mawinguni.
Nakubaliana na wewe kwamba kwa sasa baadhi ya mambo hatuna majibu tueendelee na udadisi.
 
Habari wanajamvi?natumai wote niwazima.
kwa mujibu wa imani zetu wapo wanao amini binadamu ameubwa na MUNGU,hii nikutokana na simulizi na vitabu vya dini.

pia wapo ambao wana pinga kwamba kwamba binadamu wamemuumba MUNGU,hii inatokana binadamu kushindwa kujua mwanzo wake nawaka amua kusema yupo mwenye nguvu aliye tuumba.

pia wapo wanao amini kwamba aliye tuumba yupo ila sio huyu anaye tajwa kwenye vitabu wala simulizi zakale,yeye mwenye nguvu muumbaji yupo baada ya kuumba ulimwengu na sheria zake(kanuni) na viumbe hana mpango navyo kwa maana ulimwengu unajiendesha wenye automatic.

Swali,je Mungu amemuumba mwana damu au mwanadamu amemuumba Mungu baada ya kushindwa kujua mwanzo na hatima yake baada ya kufa? Naomba kuwasilisha.
Binadamu wapo na wanathibitishika wapo.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Human beings created God through assumptions based on things beyond their imaginations.

Binadamu ndio kaumba dhana ya kufikirika na kuiita Mungu.
 
Back
Top Bottom