Mjadala kuhusu katiba unaendelea sasa ivi idhaa ya kiswahili BBC

Mjadala kuhusu katiba unaendelea sasa ivi idhaa ya kiswahili BBC

Ibra Mo

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2010
Posts
793
Reaction score
102
Wazungumzaji ni pamoja na Mbunge wa Chadema(UBUNGO)
John Mnyika.
 
Mgeni mwingine alikuwa ni Juma Mhina ,mkereketwa wa Chama cha Mafisadi.Nimemsikia Juma Mhina katika mjadala huo akijionyesha jinsi gani yeye mwenyewe ni mwendawazimu.Anasema eti hakuna haja ya kuwa na katiba mpya na eti hoja ya katiba mpya wanaoitetea ni watu walosoma lakini wanakijiji na watu ambao sio wasomi hawahitaji hiyo katiba mpya eti wao wanahitaji kitatuliwa kero nyingine kama maji n.k.Yeye anasema katiba iliyopo inafaa kwa asilimia kama 90 hivyo hakuna haja ya kuandika katiba mpya kwani katiba mpya itakuwa na gharama na fujo nyingi kiasi kwamba wananchi hawatajihusisha na kazi za maendeleo.Mnyika katetea hoja zake kama kawaida kwamba katiba mpya iundwe lakini si kama Jk alivyo eleza
 
Hivi ukiwa mwanachama wa ccm hata akili na busara za kawaida zinapotea!!! Ni ajabu lakini huo ndiyo ukweli.
 
Ndiyo, unachukua akili zako nzuri unaficha chooni! Halafu sehemu mbovu ndani yako ndo una-display!
 
Wanachokisahau ni kwamba aidha hawajui au wanafanya kusudi ...

JE MWANAKIJIJI ASIEJUA KUSOMA WALA KUANDIKA ATAJADILIJE MABADILIKO YA KATIBA?
 
Back
Top Bottom