UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
Hebu kuwa wazi kama ya mbuzi, unazungumzia kidunia, Afrika au Tanzania peke yake?Hello wadau.
Kuna ka mjadala ka zito sana kanaendelea kimya kimya kati ya nani mkali zaidi 'KIAKILI' kizazi cha 1961 hadi 1980 Vs 1981 hadi 2000+ ?
Tz, mm dunia yote siijuiHebu kuwa wazi kama ya mbuzi, unazungumzia kidunia, Afrika au Tanzania peke yake?
Nakubali1961+ ni wakali
Njooni hukuTuko jukwa la siasa. Ndo kuna mambo mkuu.
Furaha iwe kwakoAm the first again..
[emoji120]Furaha iwe kwako
Kuna nini huko?Njooni huku
[emoji1]wengi wa watu wa zamani walikua ni watu wa hovyo hovyo
yaani mtu ana bunduki moja anawaongoza watu kutoka kigoma ujiji hadi bagamoyo
Hahahahahahahawengi wa watu wa zamani walikua ni watu wa hovyo hovyo
yaani mtu ana bunduki moja anawaongoza watu kutoka kigoma ujiji hadi bagamoyo
Akili the brainKuna nini huko?
Nakuja mkuuAkili the brain
Hao hawakuwa kizazi cha 1961 -1980wengi wa watu wa zamani walikua ni watu wa hovyo hovyo
yaani mtu ana bunduki moja anawaongoza watu kutoka kigoma ujiji hadi bagamoyo
HahahahaNawakubali sana wahenga wenzangu wa 1961-80. Ni vile tu hakukuwa na fursa nyingi kama zilizopo sasa.