Mjadala mpana: Uwezo wa KIAKILI cha Generation cha 1961 - 1980 Vs Generation 1981 - 2000+

1961+ niwakali sababu mlikua mnasoma mmeshaota mavuzi ,mmekomaa balaaaa lkn wengi wenu saizi mmeishiwa pumzi.

1981+ hapa ni mixture kuna mbumbumbu na mwenye Akili.

2000+ hawa nisiwazungumzie sanaaaa maana nmengi wameyakosa ambayo yangewafanya waww na Akili Zakujitegemea.
 
Hello wadau.

Kuna ka mjadala ka zito sana kanaendelea kimya kimya kati ya nani mkali zaidi 'KIAKILI' kizazi cha 1961 hadi 1980 Vs 1981 hadi 2000+ ?
Kwa swali kama hili tu, lisingeweza kuulizwa na Babu yako (sio baba) huko Kijijini...!

Unaonesha hujitambui kabisa...

Hivi unapingana na ule msemo kuwa Wazee ni hazina...! ama Cha kale ni Dhahabu...!

Kwa kujibu swali lako ni kwamba., kizazi cha miaka ya 80s+ kina Akili kubwa zaidi ya kile cha 70s-.

Ila kizazii cha 70s- ndio kizazi chenye Busara/hekima zaidi ya kile cha 80s+

NB: Ni vyema ukamuomba Mungu akupe wewe pamoja na kizazi chako Busara/hekima na sio zaidi Akili..

Kumbuka pale Nabii Suleimani alipo ambiwa na Mungu (kupitia Malaika) aombe chochote kile na atampa..

Suleimani (a.w) akamuomba Mungu ampe Busara.
Mungu nae akamuambia, kwa kuwa umeomba Busara, basi nami nitakupa Ufalme, utawala Mali na vyote vinavyo kuzunguuka..!

Akili bila Busara ndio silika ya viongozi wetu wengi kwa sasa..
 
wengi wa watu wa zamani walikua ni watu wa hovyo hovyo

yaani mtu ana bunduki moja anawaongoza watu kutoka kigoma ujiji hadi bagamoyo
Umeambiwa 1961 kuja 1980. Unaleta habari za 1500s
 
Kizazi chenye akili kuwahi tokea hapo ni cha miaka ya 1946 hadi 1964, hao walitambulika kama BABY BOOMERS.
Yani enzi zao kila kitu kilikua luxury -starehe, kiuchumi, kiteknolojia, viwango vya maisha unaweza sema they were living on peak of their lives! hawakuzijua shida!..
 
Ndio maana pamoja na akili na fursa nyingi wanaishi kulialia vijiweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…