Elineema Mosi JF-Expert Member Joined Jan 19, 2012 Posts 255 Reaction score 72 May 23, 2019 #1 Nawasalimu ndugu zangu,kulalamika sio tija na hakuna manufaa kwa kulalamika.Tujadili kea mapana yake kitu gani kifanyike tumshawishi Rais yetu atupatie Katiba mpya maana ni kiu ya watu wengi nchi.
Nawasalimu ndugu zangu,kulalamika sio tija na hakuna manufaa kwa kulalamika.Tujadili kea mapana yake kitu gani kifanyike tumshawishi Rais yetu atupatie Katiba mpya maana ni kiu ya watu wengi nchi.
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Sep 9, 2019 #2 Nyau zenu, mmeanzisha huu ujinga wa katiba mpya, ili muingize mapendekezo yenu ya Jiwe kukaa madarakan.???
Nyau zenu, mmeanzisha huu ujinga wa katiba mpya, ili muingize mapendekezo yenu ya Jiwe kukaa madarakan.???
Anti-Hacker JF-Expert Member Joined Oct 1, 2018 Posts 803 Reaction score 1,233 Oct 15, 2019 #3 Viongozi wa upinzani wawe wazarendo na waache siasa uchwara... Kwani wenyewe ndo waliharibu process yote mwishoni
Viongozi wa upinzani wawe wazarendo na waache siasa uchwara... Kwani wenyewe ndo waliharibu process yote mwishoni