Mjadala mpana wa kitaifa: Tufanye Nini ili kuisaidia Tanzania kupata katiba mpya

Elineema Mosi

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
255
Reaction score
72
Nawasalimu ndugu zangu,kulalamika sio tija na hakuna manufaa kwa kulalamika.Tujadili kea mapana yake kitu gani kifanyike tumshawishi Rais yetu atupatie Katiba mpya maana ni kiu ya watu wengi nchi.
 
Nyau zenu, mmeanzisha huu ujinga wa katiba mpya, ili muingize mapendekezo yenu ya Jiwe kukaa madarakan.???
 
Viongozi wa upinzani wawe wazarendo na waache siasa uchwara...
Kwani wenyewe ndo waliharibu process yote mwishoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…