Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Kuna mjadala mkali umeibuka South Africa kuhusu honorary doctorate degrees zinazogawanywa kama njugu hata na vyuo ambavyo havina accreditation yoyote.
Ninachofahamu kwa uzoefu wangu wa system ya kimarekani ni kuwa Honrary doctorate siyo Ph.D. na ni lazima ie specific kuwa ni honorary doctorate ya namna gani bila kuingiliana na academic degrees. Kwa mfano Honorary Doctorate of Humane Letters, Honorary of Doctorate of Humanities. Huweza opia kuzitambulisha digreii za namna kwa phrase ya Honoris Cause.
Hakuna kitu kinaitwa honorary Ph.D au PhD ya heshima kwani Ph.D ni lazima ifanyiuwe kazi ni izalishe knoledge mpya kwenye academi circles kwa kupitia machapisho.
Tanzania siku hizi mtu kama Kichuguu analetewa joho na mortar board hata barabarani anavikwa na kuambiwa amepwa Ph.D ya heshima na kesho yake anatambulishwa kama Dr. Kichuguu.
Mjadala uliouibuka South Afrika umetokana na wasanii hawa kupewa honrary doctorate na chuo kisichotambulika na wakaanza kutumia titles za Dr na hivyo kuibua mengine kwenye jamii. Je yanayoendelea South Afrika sasa kuhusu mjadala huo na sisi Tanzania tuyaangalie?
www.sapeople.com
www.jamiiforums.com
Ninachofahamu kwa uzoefu wangu wa system ya kimarekani ni kuwa Honrary doctorate siyo Ph.D. na ni lazima ie specific kuwa ni honorary doctorate ya namna gani bila kuingiliana na academic degrees. Kwa mfano Honorary Doctorate of Humane Letters, Honorary of Doctorate of Humanities. Huweza opia kuzitambulisha digreii za namna kwa phrase ya Honoris Cause.
Hakuna kitu kinaitwa honorary Ph.D au PhD ya heshima kwani Ph.D ni lazima ifanyiuwe kazi ni izalishe knoledge mpya kwenye academi circles kwa kupitia machapisho.
Tanzania siku hizi mtu kama Kichuguu analetewa joho na mortar board hata barabarani anavikwa na kuambiwa amepwa Ph.D ya heshima na kesho yake anatambulishwa kama Dr. Kichuguu.
Mjadala uliouibuka South Afrika umetokana na wasanii hawa kupewa honrary doctorate na chuo kisichotambulika na wakaanza kutumia titles za Dr na hivyo kuibua mengine kwenye jamii. Je yanayoendelea South Afrika sasa kuhusu mjadala huo na sisi Tanzania tuyaangalie?
PhDs: People who receive honorary doctorates need not be called 'Dr'
The SA Association of PhDs says it is inappropriate for a recipient of an honorary doctorate to use the title “Dr” before their name.
www.sapeople.com
Kwa mujibu wa Vyuo Vikuu Duniani, watu waliyopewa Udaktari wa Heshima wasitambulishwe kama ‘Doctor’
Ndio maana hatukusikia ‘Doctor Julius Nyerere’ japo alikuwa na doctorate za heshima zaidi ya sita. Kwa mujibu wa wanataaluma na mapokeo ya vyuo vikuu duniani wale waliopewa doctorate za heshima hawapaswi kuitwa doctors kama wale waliosomea PhD. Soma hapa: Should Recipients of an Honorary...
What is an honorary doctorate?
An honorary doctorate, or Doctor Honoris Causa, is a doctoral-level honorary degree that a school can give to an individual. For instance, schools may bestow an honorary law degree upon someone who's made significant impacts on law and politics. Common honorary doctorate degrees include the following:- Doctor of Education (D.Ed.)
- Doctor of Arts (D.A.)
- Doctor of Science (D.S.)
- Doctor of Public Service (D.P.S.)
- Doctor of Fine Arts (D.F.A.)
- Doctor of Public Service (D.P.S.)