brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 900
Mjadala unaendelea mitandaoni wakishindanishwa Nandy na Zuchu nani hodari wa kuimba? Kura yako kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza.Nandy Anaelekea kuwa legend, Zuchu ndio kwanza anaanza. Ili uitwe legendary kwenye muziki ni lazima uwepo kwenye game kwa 15 years.
Zuchu ni mwandishi, Nandy sio mwandishi.
Nandy ni best vocalist anaweza kuimba styles zote mfano R&B, Gospel na Rumba.
Zuchu ni limeted kwa aina ya muziki anaoufanya Baibuda.
.
all in all kumlinganisha Nandy na Zuchu ni kumkosea heshima Nandy ni sawa na kumlinganisha Torry lanez na Jay z people will call you mad!
We we we we we usimtaje huyo mtu...
Heshima ni kitu cha bureMjadala unaendelea mitandaoni wakishindanishwa Nandy na Zuchu nani hodari wa kuimba? Kura yako kwa nani?
View attachment 1419744
Sent using Jamii Forums mobile app
Nandy Anaelekea kuwa legend, Zuchu ndio kwanza anaanza. Ili uitwe legendary kwenye muziki ni lazima uwepo kwenye game kwa 15 years.
Zuchu ni mwandishi, Nandy sio mwandishi.
Nandy ni best vocalist anaweza kuimba styles zote mfano R&B, Gospel na Rumba.
Zuchu ni limited kwa aina ya muziki anaoufanya Baibuda.
.
all in all kumlinganisha Nandy na Zuchu ni kumkosea heshima Nandy ni sawa na kumlinganisha Torry lanez na Jay z people will call you mad!