MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

No one is perfect, angalia mwenye afadhali na mapungufu ya kurekebishika
 
Kuacha vyombo vichafu vya kutosha kwenye beseni! Kuwa na mwanamke raha sana, adi pichu anazifua bila shida! "I love you so much, and l'll always do my Kwezi!!  
 
Ila wanawake wengine jaman ni zaidi chaja ya kobe kila betri inachaji na usishangae ukakimbiwa akishaona uchumi au hali flani imepungua ndani ya nyumba
 
Kuacha vyombo vichafu vya kutosha kwenye beseni! Kuwa na mwanamke raha sana, adi pichu anazifua bila shida! "I love you so much, and l'll always do my Kwezi!!  
Mpenda arage[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila wanawake wengine jaman ni zaidi chaja ya kobe kila betri inachaji na usishangae ukakimbiwa akishaona uchumi au hali flani imepungua ndani ya nyumba
Ndio maana unaambiwa heri ukosee kujenga...
 
mnataka ndoa za kudumu wakati usafi, heshima wala uwezo wa kumudu majukumu hamna. kutwa kuwaza kujipamba na kufatilia umbeya wa istagram

nani anataka mwanamke wa ivo,mkwanja ntaupata tu na ndoa ya serikali itahusika.
Aliyekwambia kila mwanamke ni mchafu na mpenda umbea wa instagram ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…