MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

teh teh ! toka njipate dawa shoga hajanywea nyumban !nashindwa elewa !na hayumo humu ! nasema ina maana ibilisi amenizid nguv hivi hiv ? aiseee! amebanwa sana siku 3 hizi !hanuki ht pombe bas halali anageuka tu !lol
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mie ndio dawa yake ataacha tu.
 
mie ni vile sina kipato tu cha kukidhi kumtunza mwenzangu ila tofauti na hapo ngejitupia popote (ndoa ya serikali) kama chaguo likiwa si sahihi navunja ndoa.

mambo ya ndoa za kufungana maish nani? anataka.
we jamaa unawaza kama mimi wenzetu waislam wanafaidi sana mtu akizingua unapiga chini huku kwa wakristo watu hawakuelewi
 
Mmh we bora tu usioe aisee, wa hivi hayupo hapa duniani, hata dada na mama yako hawako hivyo
 
Hahaaaa duuuh, umenikumbusha hiyo physical assessment nimecheka sana ujue ....

Au ndo maana ........ eeh?!!
Aah wapi, hiyo ingehusika kabla hujawowa, assessment ya kwanza si uliipitia kidogo bana, (nimekumbuka kitu nimecheka kama mwehu hapa). Yani acha tu broo, tutaongea....
 
Weka vigezo vyako wazi mkuu (baada ya umri)! Unaweza kupata humu humu JF, naamini wapo wachumba (wife material) wengi tu, tena warembo hasa
 
Aah wapi, hiyo ingehusika kabla hujawowa, assessment ya kwanza si uliiona kidogo bana, (nimekumbuka kitu nimecheka kama mwehu hapa). Yani acha tu broo, tutaongea....
Hahaaa usicheke sana nitakutafuta inbobo bana, we tulia tu sista sahivi siko reachable on air, teh!
 
Aah wapi, hiyo ingehusika kabla hujawowa, assessment ya kwanza si uliipitia kidogo bana, (nimekumbuka kitu nimecheka kama mwehu hapa). Yani acha tu broo, tutaongea....
Halafu ujue kuku wako bado yuko jokofuni anakusubiri hata ukae miaka mia, teh!
 
Mmh we bora tu usioe aisee, wa hivi hayupo hapa duniani, hata dada na mama yako hawako hivyo
Wapo labda wewe haujapata bahati ya kuwaona,we endelea kuamin hivyo,ila shida tu kuwapata maana hawana alama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…