MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Mmhh!!hili nalo neno......ss tfnyeje?tubak kuwa single au ndo tkubal maumiv in case ika happen?
 
Mimi aliyezaa na anajitambua haina prob. Ila asiwe amezaa mtoto zais ya m1
 
No! Nilimànisha huo ndo umri sahihi wa kuanza kupata mtoto. Above, 26, 30+ huenda/probably ikawa huge risk


I see!

Na hapo pa 30+ siku hizi tunaweza kwenda mpaka 35 mkuu. From there ndo risks zinaanza.
 
Mkuu, una ushahidi gani kuwa wadada wa age hiyo wanafanya sana abortion?
ungesoma vizuri ungeelewa, at their 20-26 wanafanya sana abortion ndiyo maana mpaka age hiyo hawana watoto, ushahidi ninao ila sipo liable kuutoa kwako wala popote isipokua mahakamani tu.
 
Naona karekebisha.
Nikataka kufikiri ni zile design za kutaka tuolewe na 18yrs ili tuzae. Halafu mtu sijui college ataenda lini.
[emoji23] watu wanapenda kukaa bila kuoa au kuolewa , hasa watumishi wa serikali. Yan kama females, unaeza ata kionyesha nia , ankuwa haeleweki eleweki, hasa uwe mtumishi mwenzake na same salary scale,,, mmmmh
 
Kuonekana unadanganya pindi unapoulizwa status yako na kujibu uko single
 
[emoji23] watu wanapenda kukaa bila kuoa au kuolewa , hasa watumishi wa serikali. Yan kama females, unaeza ata kionyesha nia , ankuwa haeleweki eleweki, hasa uwe mtumishi mwenzake na same salary scale,,, mmmmh


Teh!, wanataka kuzidiana kiasi kipato kiwe kikubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…