Picha plz, [emoji23]Bora zako zinakula kushoto..kulia
Mimi zangu paa lote la mbele linarudi nyuma kwa kasi ya ajabu!..cha muhimu piga para tuu no way.
Kila nikikutana na baadhi ya watu wanahisi nina kazi maalumu kule makao makuu Chamwino + V8 juu,kumbe hata mia sina[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]..nitatuma MkuuPicha plz, [emoji23]
Mkuu wewe n8 wa kunyoa kiduku original !piga duku Hilo linyongee na dread mjanja wewe mjiniKwa yeyote alie mtaalamu au anajua dawa nzuri ya kukuza na kuotesha nywele basi anipe maelekezo kichwa kinazidi kushika kasi ya kipala na bado kwa kwa sasa sijapendelea kua na kipara.
Nywele zinapunguaa pembeni tuu ila katikati zipo kama zilivyoo [emoji23][emoji23]
Ni serious kabisa kama utajisikia kutania wewe tania, ukitaka kutukana tukana ila kama una ushauri usiache kunambia [emoji123]
Natanguliza shukrani za dhati
View attachment 1719442
Kwa yeyote alie mtaalamu au anajua dawa nzuri ya kukuza na kuotesha nywele basi anipe maelekezo kichwa kinazidi kushika kasi ya kipala na bado kwa kwa sasa sijapendelea kua na kipara.