Mjadala : Tunasubiri nini kumpa nafasi Shaffi Dauda kuongoza TFF?

Kuna Ally Mayai pia.Watu wenye Vision Lakini sasa kupata nafasi kwa jinsi mizizi ya kugombea ilivyoingia ndani ni kazi mno.TFF kwa kipindi cha karibuni ukimuacha Tenga kidg hawajawahi kupata mtu Sahihi wenye kutoa dira kuhusu mchezo huu unaopendwaa na mamilioni ya watu wa kiila rika na kila Jinsi
 
Katika Ubunifu na utekelezaji sina shaka shafii ni mtu sahihi Tatizo lake ni mnazi wa Yanga aliyepitiliza hafichi mapenzi yake jambo ambalo si zuri kwa kiongozi
alafu wengi msichojua ni kwamba shafii ni shabiki kulia lia kabisa wa simba tangu na tangu na kashawai kua mmoja ya mascot wa simba enz za kina mulami ..ndo mtu alimletaga Joseph owino simba,,...matatzo yake na viongoz wa simba na kuminyiwa mirija yake ya ulaji ndo yalosababisha mabifu bifu hayo .ila shafii ni shabiki wa simba kindaki ndaki
 
Case closed
 
Alijaribu kuomba uongozi lakini mizengwe iliyomkuta sidhani kama ana hamu tena ya kujiingiza huko. Waliojificha huko hawataki watu ambao watakuja kuwaharibia mirija yao.
 
Yule ni simba damu ila anajifichaga
Katika Ubunifu na utekelezaji sina shaka shafii ni mtu sahihi Tatizo lake ni mnazi wa Yanga aliyepitiliza hafichi mapenzi yake jambo ambalo si zuri kwa kiongozi
 
Amekuahidi nini? Aliwahi kugombea uongozi TFF lakini alikuwa hana sifa ya uongozi
 
Amekuahidi nini? Aliwahi kugombea uongozi TFF lakini alikuwa hana sifa ya uongozi
Simjui kabisa, namuona tuu katika vyombo vya Habari....
Pia kada yangu ni uhandisi ujenzi ila napenda sana michezo, hivyo uzi si kwamba kanituma hapana bali naona ana juhudi anastahili hiyo nafasi
 
Katika Ubunifu na utekelezaji sina shaka shafii ni mtu sahihi Tatizo lake ni mnazi wa Yanga aliyepitiliza hafichi mapenzi yake jambo ambalo si zuri kwa kiongozi
Uyu ni simba na ni mwanachama pia anaichukia simba coz kuna nafasi alibaniwaga
 
Katika Ubunifu na utekelezaji sina shaka shafii ni mtu sahihi Tatizo lake ni mnazi wa Yanga aliyepitiliza hafichi mapenzi yake jambo ambalo si zuri kwa kiongozi
Mbona nasikia ni mnyama mnyamani?
 
Na mabinti/vijana kama Mbao za Mawe kina wanaoshinda Instagram huku picha zao wakiwa na mafilter ya kung'aa
 
Wanamjua akili mingi. Kila akigombea, tena anagombea ujumbe, wanampiga chini fasta. Iwe Simba au TFF hawataki kisikia jina lake.
 
Wanamjua akili mingi. Kila akigombea, tena anagombea ujumbe, wanampiga chini fasta. Iwe Simba au TFF hawataki kisikia jina lake.
Wanambania jamaa makusudi wanaona atawaharibia ulaji na pia wanaona atawafunika na kuwazidi kiutendaji.
 
Labda Tanzania female federation
 
Kuna mambo mengine ni ya ajabu sana, yaani badala ya kulalamika wafanyakazi wenzake unalalamika wewe uliyepo kishumundu huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…