KIMOMWEMOTORS
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 358
- 675
Mara kadhaa tumekua tukianzisha mada mbali mbali zenye lengo la kutoa elim dhumuni likiwa ni kupeana uelewa zaidi na kukumbushana mambo mbali mbali kuhusu uagizaji wa magari
Leo tungependa kusikia maswala tofauti tofauti kutoka kwenu wadau ili tuzidi kupeana uzoefu na elim zaidi.
Shukrani na karibuni sana
Mods naomba rekebisha kichwa kisomeke “MJADALA: Uliza chochote kuhusu mchakato wa uagizaji magari”
Leo tungependa kusikia maswala tofauti tofauti kutoka kwenu wadau ili tuzidi kupeana uzoefu na elim zaidi.
Shukrani na karibuni sana
Mods naomba rekebisha kichwa kisomeke “MJADALA: Uliza chochote kuhusu mchakato wa uagizaji magari”