HahahahahaaaaaSasa kwanini uwe una amini ivyo vitabu bado uwe na dawa ya kwa mganga tena!!? Ebu tupunguze kimoja wapo ama dawa au kitabu
Tutabaki na miela mingi, baby mzuri,baba na mama wazazi, nyama ya kitmoto, mtoto, na quran.
Kwavile nina quran cwezi kuwa na nyam haram ya kitmoto kwangu, ondoa ktimoto apo. Vnabaki vngapi??
Ntabaki na mihela, baba na mama, baby mzur, quran na katoto kachanga. Hold on!, hawa wazazi wamekuja ntembelea au? Kama hapana basi watoe nao maana watakuwa kwao. Nabaki na nani apo akhaa!!, mihela mingi, baby mzur, quran na katoto kachanga.
Ujue din haineuhusu kukaa na baby mzur asiye mke embu mtoe na yeye, maana ujamtaja kam mke, ntabski na nini apo??, mihela, quran na katoto kachanga. Ila sasa ntakuaje na katoto bila mama yake?, embu nacho tukatoe apo
Ntabaki na nini? Mihela na quran cyo??, ila hyo mihela mingi ya nin niyaweke ndani?, mim mchagaa bhana yatakuwa nayazungusha kwenye biashara kule kariakoo, hapo ntabaki na nin tena? Quran? Haya huo moto ndio Paaah!! uanze kuwaka sasa [emoji53][emoji53]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Sasa kwanini uwe una amini ivyo vitabu bado uwe na dawa ya kwa mganga tena!!? Ebu tupunguze kimoja wapo ama dawa au kitabu
Tutabaki na miela mingi, baby mzuri,baba na mama wazazi, nyama ya kitmoto, mtoto, na quran.
Kwavile nina quran cwezi kuwa na nyam haram ya kitmoto kwangu, ondoa ktimoto apo. Vnabaki vngapi??
Ntabaki na mihela, baba na mama, baby mzur, quran na katoto kachanga. Hold on!, hawa wazazi wamekuja ntembelea au? Kama hapana basi watoe nao maana watakuwa kwao. Nabaki na nani apo akhaa!!, mihela mingi, baby mzur, quran na katoto kachanga.
Ujue din haineuhusu kukaa na baby mzur asiye mke embu mtoe na yeye, maana ujamtaja kam mke, ntabski na nini apo??, mihela, quran na katoto kachanga. Ila sasa ntakuaje na katoto bila mama yake?, embu nacho tukatoe apo
Ntabaki na nini? Mihela na quran cyo??, ila hyo mihela mingi ya nin niyaweke ndani?, mim mchagaa bhana yatakuwa nayazungusha kwenye biashara kule kariakoo, hapo ntabaki na nin tena? Quran? Haya huo moto ndio Paaah!! uanze kuwaka sasa [emoji53][emoji53]
SawaMimi ningeondoka na dawa yangu ya utajir
Ulivyoweka Qur'an Na Bible umeharibu Uzi huo ni uchochezi Wa wazi!Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Kwa mfano sasa uko ndan ghafla bin vuu
Maaaara paaaa nyumba ndo inaanza kuteketea kwa moto wa kas ya ajabu utaondoka na kitu gan hapa kati ya vifuatavyo ili uweze kukiokoa
BILION OF MONEY
BABY WAKO YAAN KISU BALAA
BABA MZAZI
MAMA MZAZI
NYAMA YA KITIMOTO
BIBLIA TAKATIFU
QURUAN
MWANAO WA MIEZ MITATU
DAWA YAKO YA UTAJILI AMBAYO USHAAMBIWA NA MGANGA WAKO ISIJE UNGUA HATA KIDOGO
Taja kimoja wapo mkuu
LONDON BABY
Good!Sasa kwanini uwe una amini ivyo vitabu bado uwe na dawa ya kwa mganga tena!!? Ebu tupunguze kimoja wapo ama dawa au kitabu
Tutabaki na miela mingi, baby mzuri,baba na mama wazazi, nyama ya kitmoto, mtoto, na quran.
Kwavile nina quran cwezi kuwa na nyam haram ya kitmoto kwangu, ondoa ktimoto apo. Vnabaki vngapi??
Ntabaki na mihela, baba na mama, baby mzur, quran na katoto kachanga. Hold on!, hawa wazazi wamekuja ntembelea au? Kama hapana basi watoe nao maana watakuwa kwao. Nabaki na nani apo akhaa!!, mihela mingi, baby mzur, quran na katoto kachanga.
Ujue din haineuhusu kukaa na baby mzur asiye mke embu mtoe na yeye, maana ujamtaja kam mke, ntabski na nini apo??, mihela, quran na katoto kachanga. Ila sasa ntakuaje na katoto bila mama yake?, embu nacho tukatoe apo
Ntabaki na nini? Mihela na quran cyo??, ila hyo mihela mingi ya nin niyaweke ndani?, mim mchagaa bhana yatakuwa nayazungusha kwenye biashara kule kariakoo, hapo ntabaki na nin tena? Quran? Haya huo moto ndio Paaah!! uanze kuwaka sasa [emoji53][emoji53]
KabisaKwahiyo kwa sasa unaona kama story siyo?