Mjadala:Uzi Maalumu kwa Wafanyabiashara zinazohusisha supply/Delivery ya bidhaa (Mbinu,Changamoto na Faida)

salito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
1,406
Reaction score
731
Wakuu karibuni tupeane mawazo tofautix2 kwa biashara inayohusu supply ya bidhaa,Naomba tujadili mbinu za kufanya supply ya uhakika bila kukera wateja,Changamoto zake ni zipi na Faida ni zipi karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani hapa nilipo natafuta supplier wa butternut ile mbayaaa

Unahitaji Kwa kiasi gani na bei gani.. Je interval ya kununua ipoje au ni mara moja tu?
 
Wakuu ni nani amewahi kumiliki biashara inayohitaji kufanya delivery kwa wateja?changamoto gani amekutana nazo?
 
Wakuu ni nani amewahi kumiliki biashara inayohitaji kufanya delivery kwa wateja?changamoto gani amekutana nazo?
Mkuu Salito,moja ya changamoto kubwa ni location ya mteja wako, kwa Tanzania yetu maeneo mengi hayafahamiki na hayafikiki kiurahisi.

Nyingine mawasiliano unapohitaji mteja akujulishe yupo wapi mda huo anaweza kuwa kazima simu au simu haipokelewi.

Kingine ni uaminifu,mteja kukupatia pesa kwanza ndio umpelekee mzigo ni changamoto pia...

Kwa uchache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…