Tetesi: Mjadala wa "debt ceiling" unaondelea sasa USA: ni anguko la dollar ya Amerika au kitisho kwa uchumi wa dunia?

Tetesi: Mjadala wa "debt ceiling" unaondelea sasa USA: ni anguko la dollar ya Amerika au kitisho kwa uchumi wa dunia?

Librarian 105

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
261
Reaction score
356
"Debt ceiling" ni mjadala fikirishi. America kama ipo kwenye anguko la kiuchumi vilee.., na pia wapo kama vilee kwenye kubana mzunguko wa dollar yao kutishia uchumi wa dunia kuanguka kama mbinu ya kutafuta uungwaji mkono wa kidiplomasia kutengeneza washirika wapya juu ya vita vya kuinusuru Ukraine!

Au wewe mdau mwenzangu wa forum hii unauonaje? Ni anguko au kitisho?!
 
Hiyo ni cheap politics ya Kevin, madai anayotaka hayana uhusiano na debt ceiling. Anatakiwa ayalete kwenye mjadala wa bajeti, lakini katika kutafuta cheap politics ndiyo anayal;et hapa ili aonekane ana nguvu hasa baada ya uchaguzi wake kuwa spika ukiwa ulijaa mazingaombwe mengi. Katiba ya Marekani inaweka wazi kuwa deni la serikali ya marekani siyo la kujadiliwa. Fourteenth Amendment, Section 4: " The validity of the public debt of the United States, authorized by law, including debts incurred for payment of pensions and bounties for services in suppressing insurrection or rebellion, shall not be questioned." Ikifika siku ya mwisho utakuta Rais anatumia kifungu hicho ku-raise debt-celing bila kumtegema Kevin.

Huyu Kevin ni spika wa hivyo sana. Mara ya kwanza alipitwa kwenye kiti cha uspika ingawa yeye ndiye aliyekuwa namba bili wakati huo, kikaenda kwa Paul Ryan aliyekuwa nyuma sana kwa sababu ya ujinga wake wa kutafuta cheap politics hata anapokuwa kwenye nafasi nyeti.
 
Hiyo ni cheap politics ya Kevin, madai anayotaka hayana uhusiano na debt ceiling. Anatakiwa ayalete kwenye mjadala wa bajeti, lakini katika kutafuta cheap politics ndiyo anayal;et hapa ili aonekane ana nguvu hasa baada ya uchaguzi wake kuwa spika ukiwa ulijaa mazingaombwe mengi. Katiba ya Marekani inaweka wazi kuwa deni la serikali ya marekani siyo la kujadiliwa. Fourteenth Amendment, Section 4: " The validity of the public debt of the United States, authorized by law, including debts incurred for payment of pensions and bounties for services in suppressing insurrection or rebellion, shall not be questioned." Ikifika siku ya mwisho utakuta Rais anatumia kifungu hicho ku-raise debt-celing bila kumtegema Kevin.

Huyu Kevin ni spika wa hivyo sana. Mara ya kwanza alipitwa kwenye kiti cha uspika ingawa yeye ndiye aliyekuwa namba bili wakati huo, kikaenda kwa Paul Ryan aliyekuwa nyuma sana kwa sababu ya ujinga wake wa kutafuta cheap politics hata anapokuwa kwenye nafasi nyeti.
Kwa hiyo kitu kama hiki kiliwahi kutokea huko nyuma rais akatumia mamlaka yake?
Na pia tunaona kuna benki kama tatu zimefilika ikiwemo silicon valley bank, je-hii sio kiashiria cha debt ceiling?
 
Sarafu nyingi duniani zinazidi kupoteza thamani dhidi ya dola ya Marekani halafu jihadists wanaleta porojo, mataifa mengi duniani yanadaiwa madeni kibao ambazo zipo kwa dola ya Marekani na lazima walipe.
 
Sarafu nyingi duniani zinazidi kupoteza thamani dhidi ya dola ya Marekani halafu jihadists wanaleta porojo, mataifa mengi duniani yanadaiwa madeni kibao ambazo zipo kwa dola ya Marekani na lazima walipe.
Kweli mataifa mengi yanadaiwa madeni makubwa kama sikosei Singapore anaongoza.
Hao jihadists ni kina nani wanaoleta porojo?Na je, pia spika bw.Kevin naye ni miongoni mwao? Na vita vyombo vya habari kama vile bloomberg na forbes, tunaona wamesimamia mada hii kwa muda mrefu sasa, nao ni jihadists?
Au jihadists kwa maana gani?
 
Kwa hiyo kitu kama hiki kiliwahi kutokea huko nyuma rais akatumia mamlaka yake?
Na pia tunaona kuna benki kama tatu zimefilika ikiwemo silicon valley bank, je-hii sio kiashiria cha debt ceiling?
Hapana, (a) Haikuwahi kutokea huko nyuma kwa vile siasa za kijinga za kutaka kummkwamisha rais aliyeko madarakani wa chama kingine ambazo zimekuwa kali sana siku za hivi karibuni hazikuwapo wakati huo. (b) Maanguko ya mabenki hayana uhusiano wa karibu na siasa za Washington DC.
 
Hapana, (a) Haikuwahi kutokea huko nyuma kwa vile siasa za kijinga za kutaka kummkwamisha rais aliyeko madarakani wa chama kingine ambazo zimekuwa kali sana siku za hivi karibuni hazikuwapo wakati huo. (b) Maanguko ya mabenki hayana uhusiano wa karibu na siasa za Washington DC.
Kipengele a) hii haimaanishi marekani sasa wanapoteza mvuto wa siasa zao za kidemokrasia?
Kipengele b) hiki kiachwe pembeni
 
Hapana, (a) Haikuwahi kutokea huko nyuma kwa vile siasa za kijinga za kutaka kummkwamisha rais aliyeko madarakani wa chama kingine ambazo zimekuwa kali sana siku za hivi karibuni hazikuwapo wakati huo. (b) Maanguko ya mabenki hayana uhusiano wa karibu na siasa za Washington DC.
UPOPO
Screenshot_20230507-160215.jpg
 
Kweli mataifa mengi yanadaiwa madeni makubwa kama sikosei Singapore anaongoza.
Hao jihadists ni kina nani wanaoleta porojo?Na je, pia spika bw.Kevin naye ni miongoni mwao? Na vita vyombo vya habari kama vile bloomberg na forbes, tunaona wamesimamia mada hii kwa muda mrefu sasa, nao ni jihadists?
Au jihadists kwa maana gani?
Ataishia mitini
 
Sarafu nyingi duniani zinazidi kupoteza thamani dhidi ya dola ya Marekani halafu jihadists wanaleta porojo, mataifa mengi duniani yanadaiwa madeni kibao ambazo zipo kwa dola ya Marekani na lazima walipe.
Kunywa maji yakutosha
 
Back
Top Bottom