anazungumzia kuwa mishahara kweli ni midogo, kwa kulinganisha na wengine. mwalimu mwenye digrii anaanza na laki tano, bwana mifugo mwenye digrii milioni moja na laki mbili!
Jiulize swali Ni watu wangapi wanaushawishi wa sera*Je waziri mtoto wake anasoma shule ambazo zinatungiwa Sera*Mifumo ya Elimu*Shule Binafsi*Shule za Umma*Na shule zisizofuata Mtaala#Prof Mkenda
tunazo shule zisizofuata mtaala wa kitaifa
na shule za umma zinazosimamiwa na sera tunazotunga sisi ndizo zinazoathirika, huko wanakosoma watoto wa wakulima
sasa ni mbatia kapewa dk. saba. anapongeza walioandaa majadiliano. anakumbuka prof. mosha alivyoanzisha academic freedom, unawaomba wasomo wawe wakweli wasitetee uovu wa aina yoyote katika jamii