Mjadala wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi hautazimwa kwa kumfunga Freeman Mbowe

Mjadala wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi hautazimwa kwa kumfunga Freeman Mbowe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Gwiji la siasa za Tanzania, Tajiri, Bilionea na Mfanyabiashara mkubwa wa Kimataifa, Laingwanan, Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar, yuko jela kwa mara nyingine tena kutokana na matakwa ya viongozi wa Tanzania, ambao wanamuogopa kutokana na hoja zake nzito za kuchagiza uwepo wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi zisizopingika.

Mijadala hii Muhimu kwa mustakabhali wa Nchi haiwezi kuzimwa kwa njia nyepesi kama hii ya kumfunga au hata kumuua Mtu mmoja tu aitwaye Mbowe, haitawezekana abadani, hii ni mijadala ya kitaifa, haiwezi kuzuilika kwa kumshughulikia mtu mmoja au labda kwa kuifuta Chadema, Gari limeisha waka na sasa liko kwenye mteremko linachanja mbuga, Katiba mpya huu ni wakati wake, huwezi kushindana na wakati ukafanikiwa. Never ever! Mbowe aweza kufungwa ama hata kuuawa lakini si rahisi tena kwa wakati huu kuzima jambo hili.

Nawakumbusha Watawala na wanaowatumikisha wakiwemo polisi , kwamba umuhimu wa Katiba mpya hauwezi kupuuzwa kwa vile tu wao hawataki, hii ni kwa sababu uwepo wa viongozi ama hata jeshi la Polisi pamoja na mambo mengine yote ndani ya nchi unatokana na Katiba na si vinginevyo.

Majuto ni Mjukuu

instagram(3).jpg
 
Mwigulu na Jobo wapo namba ngapi?

Mbona refa anapuliza sana filimbi
 
Gaidi Mbowe limetulizwa Segerea, nchi nzima ipo shwari na utulivu wa haja, jioni tunashushia nyama choma saaafi na beer baridiii.
 
Gwiji la siasa za Tanzania , Tajiri , Bilionea na Mfanyabiashara mkubwa wa Kimataifa , Laingwanan , Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , Yuko Jela kwa mara nyingine tena kutokana na matakwa ya viongozi wa Tanzania , ambao wanamuogopa kutokana na hoja zake nzito za kuchagiza uwepo wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi zisizopingika .

Mijadala hii Muhimu kwa mustakabhali wa Nchi haiwezi kuzimwa kwa njia nyepesi kama hii ya kumfunga au hata kumuua Mtu mmoja tu aitwaye Mbowe , haitawezekana abadani , hii ni mijadala ya kitaifa , haiwezi kuzuilika kwa kumshughulikia mtu mmoja au labda kwa kuifuta Chadema , Gari limeisha waka na sasa liko kwenye mteremko linachanja mbuga , Katiba mpya huu ni wakati wake , huwezi kushindana na wakati ukafanikiwa , Never ever ! Mbowe aweza kufungwa ama hata kuuawa lakini si rahisi tena kwa wakati huu kuzima jambo hili.

Nawakumbusha Watawala na wanaowatumikisha wakiwemo polisi , kwamba umuhimu wa Katiba mpya hauwezi kupuuzwa kwa vile tu wao hawataki , hii ni kwa sababu uwepo wa viongozi ama hata jeshi la Polisi pamoja na mambo mengine yote ndani ya nchi unatokana na Katiba na si vinginevyo .

Majuto ni Mjukuu

View attachment 1870154
Wewe endelea kutujuza ziara ya Mbowe imefikia wapi? Maelfu bado wanahudhuria? Sisi tuko sehemu tunasumbua vichwa kutatua matatizo ya binadamu.
 
Gaidi Mbowe limetulizwa Segerea, nchi nzima ipo shwari na utulivu wa haja, jioni tunashushia nyama choma saaafi na beer baridiii.
Endelea kusherehekea , muda wa majonzi yako ukifika usimlilie mtu
 
Gwiji la siasa za Tanzania , Tajiri , Bilionea na Mfanyabiashara mkubwa wa Kimataifa , Laingwanan , Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , Yuko Jela kwa mara nyingine tena kutokana na matakwa ya viongozi wa Tanzania , ambao wanamuogopa kutokana na hoja zake nzito za kuchagiza uwepo wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi zisizopingika .

Mijadala hii Muhimu kwa mustakabhali wa Nchi haiwezi kuzimwa kwa njia nyepesi kama hii ya kumfunga au hata kumuua Mtu mmoja tu aitwaye Mbowe , haitawezekana abadani , hii ni mijadala ya kitaifa , haiwezi kuzuilika kwa kumshughulikia mtu mmoja au labda kwa kuifuta Chadema , Gari limeisha waka na sasa liko kwenye mteremko linachanja mbuga , Katiba mpya huu ni wakati wake , huwezi kushindana na wakati ukafanikiwa , Never ever ! Mbowe aweza kufungwa ama hata kuuawa lakini si rahisi tena kwa wakati huu kuzima jambo hili.

Nawakumbusha Watawala na wanaowatumikisha wakiwemo polisi , kwamba umuhimu wa Katiba mpya hauwezi kupuuzwa kwa vile tu wao hawataki , hii ni kwa sababu uwepo wa viongozi ama hata jeshi la Polisi pamoja na mambo mengine yote ndani ya nchi unatokana na Katiba na si vinginevyo .

Majuto ni Mjukuu

View attachment 1870154
Mh.Balozi mtarajiwa wa NDOTONI naona uko kazini.....🤣🤣

Majuto hayatatokea mkuu wangu....

Katiba mpya haiji....ni mwendo wa punda AFE mzigo ufike....

Mzigo ni utulivu na usalama wa nchi.....

CCM si chama chepesi Cha siasa....ukikifananisha na vyama vingine vya uongozi utakuwa unakosea.......

Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania....unaweza ukanipinga kwa "mbango tu," 🤣🤣

Kazi Iendelee mkuu wangu ...hakuna namna.....

#NchiKwanza
#JMTMilele
#SerikaliMbiliDaima
 
Mh.Balozi mtarajiwa wa NDOTONI naona uko kazini.....🤣🤣

Majuto hayatatokea mkuu wangu....

Katiba mpya haiji....ni mwendo wa punda AFE mzigo ufike....

Mzigo ni utulivu na usalama wa nchi.....

CCM si chama chepesi Cha siasa....ukikifananisha na vyama vingine vya uongozi utakuwa unakosea.......

Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania....unaweza ukanipinga kwa "mbango tu," 🤣🤣

Kazi Iendelee mkuu wangu ...hakuna namna.....

#NchiKwanza
#JMTMilele
#SerikaliMbiliDaima
Mungu hataniwi , endelea
 
Mungu hataniwi , endelea
Mungu ameshakupa utajiri....

Una pesa.....
Una maisha mazuri....
Una mifereji ya biashara....

Uhuru ulishapatikana kwa jasho na damu iliyomwagika VITA VYA MAJIMAJI....

Unataka Uhuru wa pili?!!
Uhuru juu ya meza?!!!

Ukitaka kupambana na serikali ujue ni Vita isiyo macho ....

Mungu huyohuyo ndiye atoaye mamlaka na kutaka YAHESHIMIWE....hayo ndio maumbile ya dunia.....

#KaziIendelee
#UtulivuKwanza
 
Gaidi Mbowe limetulizwa Segerea, nchi nzima ipo shwari na utulivu wa haja, jioni tunashushia nyama choma saaafi na beer baridiii.
asante mamaetu hivi unajifungua lini hao mapacha wako. mana naona kama unakifafa cha mimba
 
Gwiji la siasa za Tanzania, Tajiri, Bilionea na Mfanyabiashara mkubwa wa Kimataifa, Laingwanan, Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar, yuko jela kwa mara nyingine tena kutokana na matakwa ya viongozi wa Tanzania, ambao wanamuogopa kutokana na hoja zake nzito za kuchagiza uwepo wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi zisizopingika.

Mijadala hii Muhimu kwa mustakabhali wa Nchi haiwezi kuzimwa kwa njia nyepesi kama hii ya kumfunga au hata kumuua Mtu mmoja tu aitwaye Mbowe, haitawezekana abadani, hii ni mijadala ya kitaifa, haiwezi kuzuilika kwa kumshughulikia mtu mmoja au labda kwa kuifuta Chadema, Gari limeisha waka na sasa liko kwenye mteremko linachanja mbuga, Katiba mpya huu ni wakati wake, huwezi kushindana na wakati ukafanikiwa. Never ever! Mbowe aweza kufungwa ama hata kuuawa lakini si rahisi tena kwa wakati huu kuzima jambo hili.

Nawakumbusha Watawala na wanaowatumikisha wakiwemo polisi , kwamba umuhimu wa Katiba mpya hauwezi kupuuzwa kwa vile tu wao hawataki, hii ni kwa sababu uwepo wa viongozi ama hata jeshi la Polisi pamoja na mambo mengine yote ndani ya nchi unatokana na Katiba na si vinginevyo.

Majuto ni Mjukuu

View attachment 1870154
unajisumbua tu kwa sasa ungetafuta kazi nyingine ya kufanya ulikuwa busy kuandika nyaraka za kumtoa central huyo GAIDI umeshindwa sasa umebaki kulalama wacha afungwe maana mnafuga magaidi halafu mnayaabudu kama nini sijui katiba hata ukipewa madarakani huingii abadan maana ndiyo unacholilia hakuna nchi ya majaribio ya kuongoza kama mmeshindwa kuilinda katiba yenu na mnajiita wana democrasia hatutaki ujinga wenu
 
Gwiji la siasa za Tanzania, Tajiri, Bilionea na Mfanyabiashara mkubwa wa Kimataifa, Laingwanan, Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar, yuko jela kwa mara nyingine tena kutokana na matakwa ya viongozi wa Tanzania, ambao wanamuogopa kutokana na hoja zake nzito za kuchagiza uwepo wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi zisizopingika.

Mijadala hii Muhimu kwa mustakabhali wa Nchi haiwezi kuzimwa kwa njia nyepesi kama hii ya kumfunga au hata kumuua Mtu mmoja tu aitwaye Mbowe, haitawezekana abadani, hii ni mijadala ya kitaifa, haiwezi kuzuilika kwa kumshughulikia mtu mmoja au labda kwa kuifuta Chadema, Gari limeisha waka na sasa liko kwenye mteremko linachanja mbuga, Katiba mpya huu ni wakati wake, huwezi kushindana na wakati ukafanikiwa. Never ever! Mbowe aweza kufungwa ama hata kuuawa lakini si rahisi tena kwa wakati huu kuzima jambo hili.

Nawakumbusha Watawala na wanaowatumikisha wakiwemo polisi , kwamba umuhimu wa Katiba mpya hauwezi kupuuzwa kwa vile tu wao hawataki, hii ni kwa sababu uwepo wa viongozi ama hata jeshi la Polisi pamoja na mambo mengine yote ndani ya nchi unatokana na Katiba na si vinginevyo.

Majuto ni Mjukuu

View attachment 1870154
Mheshimiwa Rais kaishasema subirini kwanza aisimamishe nchi kiuchumi na hayo mengine ya Katiba Mpya ambayo imebeba Tume huru ya Uchaguzi itashughulikiwa muda ukifika. sasa kelel za nini kila kukicha kama vile ni watoto wadogo ambao wakiambiwa jambo mara moja wanasahau na kurudia kile kile ambacho kimeshasemwa? Punguzeni kusema na kuwa na subira.
 
Mheshimiwa Rais kaishasema subirini kwanza aisimamishe nchi kiuchumi na hayo mengine ya Katiba Mpya ambayo imebeba Tume huru ya Uchaguzi itashughulikiwa muda ukifika. sasa kelel za nini kila kukicha kama vile ni watoto wadogo ambao wakiambiwa jambo mara moja wanasahau na kurudia kile kile ambacho kimeshasemwa? Punguzeni kusema na kuwa na subira.
chadema ni kama watoto hawana subira sasa ndiyo washike dola watu vichaa kama hawa kweliiii tuweni serious kidogo
 
Back
Top Bottom