Prof Octavius Muyungi
New Member
- Jul 2, 2019
- 0
- 2
Anza kidogo mkuu utajifunza mengi na gharama utakua unazijua kidogo kidogo
Anyway nafunga kuku wa kienyeji nilianza na wa 5 walinisumbua ila saizi washafika wengi na at least gharama nazimudu na nazifahamu pia nimejifunza mengi usifuge kwa simu mkuu ingia field utajifunza mengi