Mjamzito anabreed

mbogyo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
231
Reaction score
100
mke wngu anamimba miez 3 but kila tukisex anatokwa na damu uken bila maumivu yyote hil ni tatzo gani?je mimba haittoka?
 
ilo n tatizo ,huo ndo mwanzo wa kuarbika kwa mimba.inabidi mu mwone daktar.
 
mke wngu anamimba miez 3 but kila tukisex anatokwa na damu uken bila maumivu yyote hil ni tatzo gani?je mimba haittoka?

Mimba miezi 3 alafu unataka kuzamisha dushelele lote? Bado mna fanya ma acrobatic yenu. Whacha ujinga wewe. Nenda kwaone maspeshalist wa wanawake acha na hao madtari wa kufunga vidonda
 
[QUOTE=mama Mjamzito anabreed

NO NI MJAMZITO ANABLEED samahani kwa usumbufu.
 
Acheni tendo la ndoa, itatoka hiyo. Inaweza shusha kizazi.
 
Daktari hakuwashauri chochote?mnahitaji kuonana na daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama. Wakati huu asifanye kazi yoyote na muache kujamiiana hadi mtakapomuona dr.
kila la kheri
 
Aisee hyo hali inahitaji utabibu kwa haraka iwezekanavyo ili kuokoa maisha ya mtoto ,hyo inaweza ikawa inasababishwa na aidha 1.chronic P.I.D ambayo alikuwa nayo hata kabla ya ujauzito
2.Threatened abortion -inawezekana mimba inataka kuji-abort
Au 3.Cervical incompetence-inawezekana yuko kwenye risk kubwa ya shingo ya kizazi inataka kufunguka

Mwisho kabisa namaliza kwa kutoa elimu kuwa kufanya mapenzi wakati wa ujauzito sio vibaya kama ujauzito uko tu vizuri kama baadhi ya watu wanavyofikiri hata wengne umewaona jinsi walivyochangia Thread hpo juu na nakushauri mkafanye ultrasound haraka iwezekanavyo kujua status ya cervix na mtoto(fetus Òr embryo) kiujumla

Sent from my BlackBerry 9300 rusing JamiiForums
 
During pregnancy there is an increased blood supply to the cervix and vaginal walls. When a pregnant woman has sex, these blood vessels are more likely to break than if she weren't pregnant. It is not uncommon at all for women in their second or third trimesters to experience some spotty, occasional bleeding after intercourse. If you experience no cramping and there is not a heavy flow of blood then you likely have no cause for concern. If you're unsure, contact your health care provider immediately.

[h=2]Prevention/Solution[/h]
  • To prevent bleeding after sex while you're pregnant you can try different positions that will put less pressure on mom. Rear entry and spooning positions are likely to decrease any bleeding you experience. Some women will prefer abstinence or other forms of intimacy--massages, showers or cuddling. Be sure to talk through these changes with your partner.

[h=2]Identification[/h]
  • If you experience bleeding after sex while you're pregnant you may want to contact your health care provider to positively determine the cause. Your provider will want to know the amount of blood that was passed as well as the color and consistency--were there any clots or was it only blood. It is important to tell your health care provider that you have recently had intercourse. Bleeding after sex is likely to only be spotting. If your bleeding is heavier than scant spotting, notify your health care provider immediately.

[h=2]Time Frame[/h]
  • Bleeding after intercourse while you are pregnant can cause scant bleeding or spotting. This spotting is likely to appear shortly after intercourse but could take up to 24 hours to show.

[h=2]Warning[/h]
  • If your bleeding is more than spotty and you are experiencing any cramping at all you need to see your health care provider. If you have contractions that are stimulated by sex and continue after you are through you should contact your health care provider as well. Bleeding during pregnancy can mean many different things. If you are at all unsure about the origin or meaning of your bleeding contact your health care provider immediately.



Most men and women are concerned about the safety of sexual intercourse during pregnancy. In most every situation sex during pregnancy is safe. Sex can cause bleeding during pregnancy, but that in itself doesn't need to alarm you. Bleeding after intercourse while you're pregnant is common and usually not a sign of danger.
 
mke wngu anamimba miez 3 but kila tukisex anatokwa na damu uken bila maumivu yyote hil ni tatzo gani?je mimba haittoka?

swala la mjamzito kubreed inatokea kwa baadh ya kina mama lakin si tatzo n ubadilikaji wa kiomon,,,,,,,lakin kama itakuwa inatoka wakat wa kusex labla umbadilishe mikao ya kitandan maana wajawazito wana style zao kuna mapigo mengne huenda kuchokonoa mambo mengne kama si ivo bac kuna sababu ya kitaalam zaidi lakin si kwamba mimba inaharibika hapana wala haijaharbka,,,,,,
 
acha hako ka mchezo hadi upate ushauri kwa dr wa kinamama
 
Ayaaaa,daaa....aise wai hosp.unaweza kuta an embryo still exists ila analika kiaina.weng wazaliwa na upungufu waviungo
 
Wahi hospitali Mkuu wataalamu wakampime Mama mtarajiwa na kutoa ushauri wao wa nini kifanyike na si ajabu dawa za kumsaidia.
 
Murah mkeo anafanyajee??samaaani lakin
Pole,see the doc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…