Yuko hosp tatzo wnasema iyo hali inaweza kuwa imesababishwa na mtoto kujigeuzaAjifungulie hospitali, mara myingine hesabu tunakosea lakini tofauti ya wiki mbili si mbaya.
Ichenjezya shukran mkuuKawaida sana Chief,huyo wala hatapata tatizo lolote,makadilio ya kujifungua huwa wiki mbili kabla au baada,hakuna siku ambayo ni rasmi,....mimi mke wangu alifanyiwa upasuaji mtoto akiwa na miezi saba,na mpaka sasa ana survive na afya tele
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hawakupima kuona kichwa kiko wapi? Hakikisha hospitali iwe na uwezo wa caesarian facilities. Ndiyomaana nilisema ajifungulie hospitali. Midwife anajua kuangalia kama mtoto ame breech.Yuko hosp tatzo wnasema iyo hali inaweza kuwa imesababishwa na mtoto kujigeuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana.Ndio maana kuna njiti.Msaada kwenye tuta
Mke wangu amebakiza wiki 2 tu kufiisha miezi tisa ya ujauzito wake but sikuya pili leo tumbo limemsumbua sana nimefikisha hospital wanasema njia inafunguka
Je, inawezekana akajifungua ikiwa uja uzito una umri huo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada sky hizi terminologies unatutesa ujue ...Kwani hawakupima kuona kichwa kiko wapi? Hakikisha hospitali iwe na uwezo wa caesarian facilities. Ndiyomaana nilisema ajifungulie hospitali. Midwife anajua kuangalia kama mtoto ame breech.
Mkuu usishtuke,miye wife alifika mpk miezi 10 no uchungu,lkn alikuwa chini ya uangalizi wa daktari,lastly kuna dawa alipewa ya kuanzisha uchungu haikuchukuwa dk 10 alijifungua.Mke wangu ujauzito wake umetimiza miezi tisa na siku mbili sasa ila hajisikii uchungu hii imekaaje,na nn tunaweza Fanya?
Sawa ndugu,Asante sana kwa kunipa moyoMkuu usishtuke,miye wife alifika mpk miezi 10 no uchungu,lkn alikuwa chini ya uangalizi wa daktari,lastly kuna dawa alipewa ya kuanzisha uchungu haikuchukuwa dk 10 alijifungua.
**Warning**
Bado anatakiwa kufuata ushauri wa daktari na kuudhuria clinic kama atakavyoshauriwa.
G6Ajifungulie hospitali, mara myingine hesabu tunakosea lakini tofauti ya wiki mbili si mbaya.
666666ggMsaada kwenye tuta
Mke wangu amebakiza wiki 2 tu kufiisha miezi tisa ya ujauzito wake but sikuya pili leo tumbo limemsumbua sana nimefikisha hospital wanasema njia inafunguka
Je, inawezekana akajifungua ikiwa uja uzito una umri huo??
Sent using Jamii Forums mobile app