Mjamzito kutokwa na Maji Rangi ya Njano

Mwinyi_JR

New Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
2
Reaction score
0
Habar wana JF naomba kujua Mama mjamzito wa Mimba Changa kutokwa na Maji yenye Rangi kama njano..hiyo inaashiria Nini?

Swali la Pili ! .....Nina Rafiki yangu mke wake Ni mjamzito, ambae alikadiria mwezi huu angekuwa na amefikisha miezi mitatu..lkn cha ajabu juzi kaenda kupima tena ujauzito unaonesha una wiki 4, hapo tatizo Nini?
 
Hoja namba moja mimba ina umri gani?

Hoja namba mbili hapo kuna mkono wa mtu au ultra sound iliingia virus.
 
1. ni maji au uchafu? angalie vizuri, pika kama vina harufu mbaya au kuwasha washa ni kwenda hospitali tu. Pia usafi hayo maeneo.

2. Hapo huenda huyo mwanamke ndio kachanganya siku, hajui mimba iliingia lini na ni kawaida sana kuchanganya. Lakini ikifikia siku ya kwenda clinic apime tena kujiridhisha na hayo majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…