L lucz JF-Expert Member Joined Dec 7, 2013 Posts 218 Reaction score 41 Jul 14, 2015 #1 Habari JF. Mimi ni mama mjamzito mimba imeshaanza mwezi wa nne. Tatizo langu kubwa usiku ninajigeuza sana mpaka naogopa. Naomba mnisaidie ni hali ya kawaida au nitakuwa nina tatizo. Nitashukuru kwa msaada wenu.
Habari JF. Mimi ni mama mjamzito mimba imeshaanza mwezi wa nne. Tatizo langu kubwa usiku ninajigeuza sana mpaka naogopa. Naomba mnisaidie ni hali ya kawaida au nitakuwa nina tatizo. Nitashukuru kwa msaada wenu.
M Mokoyo JF-Expert Member Joined Mar 2, 2010 Posts 15,145 Reaction score 5,566 Jul 14, 2015 #2 kwa experience ya mke wangu alipokuwa mjamzito alikuwa anageuka geuka mpaka naogopa yaani alikuwa hana pozi la kulala kabisaa. kwahiyo i think ni hali ya kawaida.
kwa experience ya mke wangu alipokuwa mjamzito alikuwa anageuka geuka mpaka naogopa yaani alikuwa hana pozi la kulala kabisaa. kwahiyo i think ni hali ya kawaida.
C Chamachama JF-Expert Member Joined Jul 8, 2014 Posts 200 Reaction score 129 Jul 14, 2015 #3 hata mm naomba nijibiwe nipo kama ww usiku kucha silali nikujigeuza,mbaya zaidi najikuta nmelalia tumbo miezi 4 na mm wataalam tusaidieni
hata mm naomba nijibiwe nipo kama ww usiku kucha silali nikujigeuza,mbaya zaidi najikuta nmelalia tumbo miezi 4 na mm wataalam tusaidieni
F Fisadi Nyangumi Senior Member Joined May 5, 2015 Posts 123 Reaction score 26 Jul 14, 2015 #4 eengine inakaa kitandan usiku